Ujio wa Obama: Kenya says 'All lions in Tanzania are Kenyan'

Wakenya mnatia aibu
kwani mmeambiwa Obama anakuja kutoa neema au anakuja kwa interest za Marekani?
marekani hana rafiki au adui wa kudumu. yeye anajali zaid interest zake.
Mnalia lia kana kwamba hatakuja kenya Huyu mwandishi hana upeo zaidi ya hicho alichoandika.
Obama mjanja, atakuja kipindi cha mwisho kabla hajamaliz amuda wake ili kutoonekana anapendelea Kenya.
 
kha! wajameni kumbe hawa majirani zetu wanamatatizo makubwa, maana huu ujio wa Obama utadhani anakuja kutulipia madeni yetu, kujenga shule nchi nzima na kumaliza matatizo ya watanzania. Sanasana ukitoa wale waliokodishia magari yao kipindi hiki kwa ujio wake ndio walionufaika kwa wengine inaweza kuwa kama kero tu kwao kutokana na maandalizi yenyewe maana watu wameshaambiwa wasije dar tayari.

Kenyans childish attitude which has been assimilated into their culture is becoming apparent, kwani tulimpigia magoti sisi Obama aje, no wonder in their shores they tend to think some human beings are better than others due to tribal labels and their obnoxious thoughts.

Maana sasa they're becoming a nuisance Obama, Obama, Obama get a life, kama walivyokuwa wanalilia EAC with land, land, land. If it was up to me, Tanzania needs to stay away from such envious friends kitu kidogo kama hiki hakiwezi kumkera mtu mzima unless he has other serious problems.
 
he'll be spending only two days and one night in tz but he did stay in Kenya some weeks when visiting the grand parents even attending local markets with common peoples ...so, which country does he love most!? You Kenyans, the man is still alive and will pay a visit one day, do not worry na acheni hizo fitina na chuki zenu!
 
Hivi ujio wa Obama Tanzania ni issue kubwa sana? Mbona Rais wa China alikuwepo nchini miezi kadhaa tu iliyopita hawakusema? Mbona mwaka 2008 tumemkaribisha George Bush hapa hawakusema? Kwanini leo Obama anawauma hivyo? Watanzania wana asili ya ukarimu na hivyo wanapata wageni wengi kuliko wao, sasa kinawauma nini? Hawawezi kuibadili asili yetu.
Ila wamenichekesha sana wanaposema simba wote ni Kenyans, haha, huu ujio wa Obama Tanzania unaweza kuwafanya baadhi yao waanze kuokota makopo.
 
Mimi nadhani hii tungo "All tanzanian lions are kenyans..." ni ya kifasihi zaidi. Huenda mwandishi alichotaka kuzungumia hapa sio Simba na Tembo walioko mbugani. Huenda, alimaanisha kuwa uwekezaji mkubwa wa Tanzania unamilikiwa na Wakenya kama kipimo cha mafanikio ya nyanja nyingi zikiwemo kisiasa na kiuongozi. Sijui hili lina ukweli kiasi gani, kwani sijawahi kufahamu kuwa uwekezaji wa Tanzania nchini Kenya ni kiasi gani, ili tukatae kuwa Simba wote Tanzania sio wa Kenya.

of course ndicho alichomaanisha.....kwamba wa-KE wameukamata uchumi wetu kisawasawa kwenye private investment na ajira. there's no denying to this obvious fact!
 
Wakenya mnakuaje tena bhana! Msifanye bifu na Tz mazee!

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Punguzeni unafiki Watanzania,Hata nyinyi mngelalamika hivyo hivyo,Tena kwa jinsi tulivyo sijui hali ingekuwaje.Wakenya wana haki ya kulalamika kwasababu Obama ni blood yao.Sadly aliitumia tu Kenya ili aingie WhiteHouse.Now he is a President doesn't want to do anything with Kenya.He simply threw them under the bus
Ni blood yao!!!so what!!wewe ulishaona mtu analazimishwa kwenda kwao???waache hizo,Obama hakuwaambia wapumzike ni wao wenyewe kwa kujipa matumaini makubwa kwa Obama wakati yeye si kivile kwao anawachukulia kama nchi zingine tu.Kwa hili nadhani wamepata fundisho ambalo hawatakaa wasahau hizo ni za uso tosha.
 
Obama refusal
to visit Kenya
will have
consequences
By KWAMCHETSI MAKOKHA
Posted Friday, June 28 2013 at
18:57
US President Barack Obama is no
friend of Kenya. Consider that when
no other country ever declared a
public holiday to celebrate his
election victory in 2008, Kenya did.
The Senegalese had no idea and the
Tanzanians and South Africans were
green with envy.
Consider also that when President
Obama needed good genes to get
into Harvard Law School, a Kenyan
contributed 50 per cent. When Mr
Obama needed pictures of himself
carrying cassava to the market to
get through a bruising campaign,
Kenya obliged.
In fact, Kenya provided the story of
his African ancestry - complete
with the heroic role his grandfather
played in the Mau Mau struggle for
independence. He even visited the
country as a junior senator for
Illinois, and was welcomed with
open arms.
Now that he is President, Kenya is
not good enough to visit.
The excuse for his refusal is
laughable. Fears of being
photographed at State House in the
company of the country's two
leaders who face crimes against
humanity charges at the
International Criminal Court have
apparently forced him to skirt his
father's homeland as if it were a
leper colony.
Did the country not conduct peaceful
elections this year that the Supreme
Court passed as the cleanest in the
country's history? He has permitted
a little domestic quarrel about
power to prevent him from taking a
mere photograph with the
legitimate leadership of Kenya just
because of claims that 1,133 people
died and 600,000 others were
displaced as a result of their
combined genius.
Has Kenya not recovered from the
violence that nearly tore the country
apart in 2008, passing a modern and
progressive Constitution?
Only this year, Mr Obama pretended
to care for Kenya by promising that
those willing to walk the path of
progress would "continue to have a
strong friend and partner in the
United States of America".
Instead of holding up Kenya as a
beacon of democracy and prosperity
that has survived 50 years of
independence, Mr Obama has gone
looking for examples in Senegal,
Tanzania and South Africa. He
should know that Kenya wrote the
encyclopaedia of African democracy.
It is incongruous that Mr Obama
would want to discuss good
governance with toddlers in African
democracy. Anyone who needs a
manual on how to run elections
needs to look no further than Kenya.
Anyone who is keen on creating a
youthful leadership on the backbone
of integrity need not look further
than Nairobi. Mr Obama wanted to
discuss political parties? Kenya has
over 50. It can teach Africans not
just about democracy, it can also
instruct them on justice.
For all its exemplary political
conduct, what does Kenya get? Bad
press and a presidential snub! Other
than having Nelson Mandela, South
Africa has nothing on Kenya. The
lions in Tanzania are all Kenyan.
Mr Obama seems to be oblivious of
the numerous sacrifices many
Kenyans have quietly made to bring
him to where he is. Numerous
Kenyans, working as immigrants,
have lifted the American economy
from the ignominy of the world
economic crisis.
Kenya has allowed thousands of
Americans to work as spies,
marines, teachers, researchers and
what-not just to cover Mr Obama's
vulnerability in failing to create jobs
at home. His truancy in dodging the
call of his ancestral home invites
punishment commensurate with his
mischief.
Mr Obama should think long and
hard about the effect of Kenya
demanding the repatriation of all its
resources stolen to benefit America
– starting with six pints of his
blood, 16 of his teeth and 50 per cent
of his brain. The rest should follow
in due course.
Choices have consequences.
kwamchetsi@formandcontent.co.ke
Mr Campus , Obama will probably visit Kenya when he is out of the Wjit House office.
Kenya's diplomatic pariahship is of nobodys making, and least of all Tanzania has no contribution in it.
Obama is half Kenyan, and probably is not proud of it at this juncture.

The killing ways , and the awe following it will definately put off many people , away from Kenyans.
I dont blame Obama for being the human being that he is.
A photo oppurtunity with killers in high palses just aint going to square off the odds against Kenyans.

And in future , when Kenyans raise those matchetes against each other, just think of the Obama's in the rest of the world (and forget about anything to do with human rights!!)
 
Obama refusal
to visit Kenya
will have
consequences
By KWAMCHETSI MAKOKHA
Posted Friday, June 28 2013 at
18:57
US President Barack Obama is no
friend of Kenya. Consider that when
no other country ever declared a
public holiday to celebrate his
election victory in 2008, Kenya did.
The Senegalese had no idea and the
Tanzanians and South Africans were
green with envy.
Consider also that when President
Obama needed good genes to get
into Harvard Law School, a Kenyan
contributed 50 per cent. When Mr
Obama needed pictures of himself
carrying cassava to the market to
get through a bruising campaign,
Kenya obliged.
In fact, Kenya provided the story of
his African ancestry — complete
with the heroic role his grandfather
played in the Mau Mau struggle for
independence. He even visited the
country as a junior senator for
Illinois, and was welcomed with
open arms.
Now that he is President, Kenya is
not good enough to visit.
The excuse for his refusal is
laughable. Fears of being
photographed at State House in the
company of the country’s two
leaders who face crimes against
humanity charges at the
International Criminal Court have
apparently forced him to skirt his
father’s homeland as if it were a
leper colony.
Did the country not conduct peaceful
elections this year that the Supreme
Court passed as the cleanest in the
country’s history? He has permitted
a little domestic quarrel about
power to prevent him from taking a
mere photograph with the
legitimate leadership of Kenya just
because of claims that 1,133 people
died and 600,000 others were
displaced as a result of their
combined genius.
Has Kenya not recovered from the
violence that nearly tore the country
apart in 2008, passing a modern and
progressive Constitution?
Only this year, Mr Obama pretended
to care for Kenya by promising that
those willing to walk the path of
progress would “continue to have a
strong friend and partner in the
United States of America”.
Instead of holding up Kenya as a
beacon of democracy and prosperity
that has survived 50 years of
independence, Mr Obama has gone
looking for examples in Senegal,
Tanzania and South Africa. He
should know that Kenya wrote the
encyclopaedia of African democracy.
It is incongruous that Mr Obama
would want to discuss good
governance with toddlers in African
democracy. Anyone who needs a
manual on how to run elections
needs to look no further than Kenya.
Anyone who is keen on creating a
youthful leadership on the backbone
of integrity need not look further
than Nairobi. Mr Obama wanted to
discuss political parties? Kenya has
over 50. It can teach Africans not
just about democracy, it can also
instruct them on justice.
For all its exemplary political
conduct, what does Kenya get? Bad
press and a presidential snub! Other
than having Nelson Mandela, South
Africa has nothing on Kenya. The
lions in Tanzania are all Kenyan.

Mr Obama seems to be oblivious of
the numerous sacrifices many
Kenyans have quietly made to bring
him to where he is. Numerous
Kenyans, working as immigrants,
have lifted the American economy
from the ignominy of the world
economic crisis.
Kenya has allowed thousands of
Americans to work as spies,
marines, teachers, researchers and
what-not just to cover Mr Obama’s
vulnerability in failing to create jobs
at home. His truancy in dodging the
call of his ancestral home invites
punishment commensurate with his
mischief.
Mr Obama should think long and
hard about the effect of Kenya
demanding the repatriation of all its
resources stolen to benefit America
– starting with six pints of his
blood, 16 of his teeth and 50 per cent
of his brain. The rest should follow
in due course.
Choices have consequences.
kwamchetsi@formandcontent.co.ke

This is absolutely trash in all measures!!!!!
 
Inahitaji tafakuri kujua kama mwandishi aliongelea Simba wanyama aliposema hivyo!Pengine wakenya walitaka kuliko Obama awatumie wa South Africa kunyonya uchumi wetu Watanzania kama walivyofanya kwenye dhahabu(makaburu wametumiwa sana na wacanada),wao ndo wangetumika sasa!Naamini Obama hana mpango wa kuwanyonya makaburu,ila mikakati yake kutunyonya,haitakuwa moja kwa moja Taifa lake lisije nyooshewa vidole.Atawatumia vema makaburu kama wanavyotumika katika makampuni kama voda,makampuni ya bia,barrick gold nk.Wao hawaibi kishamba kama wachina.Wachina wao ni wababe hata kelele za wanaharakati wa haki za binadamu huwa haziwanyimi usingizi.Wakenya wanatuona sisi kama mang'ombe tu na wanaumia kwa nini ndugu yao hakuwashirikisha kuja kutukamua bali amekuwa kama amewasusa vile.Hata hivyo kwa watu wengi wenye akili ya kawaida(wengi sana wakiwemo na waandishi wa habari),suala la ziara ya Obama wanaliona kama suala la sie kupata sifa tu na hayo mengine tuwaachie wao wenyewe!Pengine hata wakenya walitaka aende kwao kama heshima tu ili wapate kutuka duniani!Ila wenye akili wamekwisha fikiri ziara hii kama promo kwa suala la utalii kwa vile nchi itatangazika sana wakati wa ziara hii.Hii nayo inaweza kuwa inawapa kiwewe wakenya kwa kuona tunapata attention kubwa kuliko wao kutoka kwa wageni wanaotaka kutembea EA kwa ajili ya utalii na uwekezaji.Kwa hiyo bora wapige kelele hata kama ni za kijinga ila katika kelele hizo hizo wanapata faida ya kuendelea kutangazwa sambamba na ujio wa Obama Tanzania

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Labda wale wa serengeti maana iko jirani nao sasa wa uku Mikumi na Ruaha na Ktavi pia wenu?
Sign ya kuchanganyikiwa
 
Yaani wakenya wamekuwa viazi sana. Wanalialia tu kama dogs ambao wapo "on heat". Mbona Obama bado hajamaliza urais? Anaweza akawatembelea mwakani au hata after 2 years. Anaweza pia kuwatembelea akiwa retired president. Wakenya, acheni wivu wa kike...
 
He to Ireland to pay a visit,Obama originates from Ireland as well.So why not Kenya,He should not punish all Kenyans because of few individuals mistakes in the past.Tanzania will never gain anything from this visit anyway.Give away as usual,So Kenya has nothing to be jealous of.
 
He went to Ireland to pay a visit,Obama originates from Ireland as well.So why not Kenya,He should not punish all Kenyans because of few individuals.Tanzania will never gain anything from this visit anyway.Give away as usual,So Kenya has nothing to be jealous of.
 
Wakenya wapuuzi, ina maana wanataka kumpangia majukumu rais wa marekani, stupidy! Kwani wamejua hataenda Kenya tena mbona wana jump to conclusion! Waache wivu wa kijinga na mihemuko!

mpuuzi ni mwandishi wa kenya wala sio wakenya wote kwenye hili. usijekuta anayelalamika ni mkikuyu na labda wajaluo wanafurahia kwa kuwa obama ambaye ni jaluo hajatembelea kenya wakati wa uongozi wa serikali inayoongozwa na Mkikuyu ambaye ushindi wake uliacha watu wanune hadi Odinga anazuiliwa kupita VIP airport.

kwenyevitabu vya Riwaya wakikuyu huwa wanadai pia kuwa ardhi yote ni ya wakikuyu, na mkoloni aliitwaa na kuwagawia makabila mengine. kumbe ubaguzi hauko nje ya nchi tu.
 
Nonsense.

Ziara afanye Obama, kutembea atembelee Tanzania, kwanini kiwaume nyie?!




Wote hamjamuelewa huyu mwandishi...
Katika Fasihi ya lugha, kuna namna tofauti za uandishi. Kati ya namna mbali mbali za uandishi katika Fasihi ya kingereza ni zifuatazo;

a) Imagery,
b) Symbolism,
c) Songs,
d) Comic effect,
e) Sarcasm,
d) Irony.
f) Metaphors
g) Monologue
n.k


Huyu mwandishi katumia "sacarsm" kumkosoa Obama huku akimkubusha kuwa nyumbani ni nyumbani.
Mstari mmoja tu alioutumia kuhusu Tanzania unaonekana kuibua mjadala mkubwa na hasira nyingi dhidi ya wakenya.... aliposema "all lions in Tanzania are Kenyan."
Mtu yeyote anajuwa kuwa alichosema si kweli bali anatutania sisi Watanzania na kumpumbaza Obama.

Tusisahau kuwa Mlengwa hapa siyo sisi Watanzania bali ni Obama...

Tuondokane na "Stereotypes" maana ndizo zilizopelekea comments zote hizi ambazo si sahihi.
 
Obama refusal
to visit Kenya
will have
consequences
By KWAMCHETSI MAKOKHA
Posted Friday, June 28 2013 at
18:57
US President Barack Obama is no
friend of Kenya. Consider that when
no other country ever declared a
public holiday to celebrate his
election victory in 2008, Kenya did.

The Senegalese had no idea and the
Tanzanians and South Africans were
green with envy.


kwamchetsi@formandcontent.co.ke



hahahahaha!!! Kenyans ! :clap2:
 
Ofcourse Kenya is number two kwa uwekezaji Tanzania ikiongozwa na UK.
Mimi nadhani hii tungo "All tanzanian lions are kenyans..." ni ya kifasihi zaidi. Huenda mwandishi alichotaka kuzungumia hapa sio Simba na Tembo walioko mbugani. Huenda, alimaanisha kuwa uwekezaji mkubwa wa Tanzania unamilikiwa na Wakenya kama kipimo cha mafanikio ya nyanja nyingi zikiwemo kisiasa na kiuongozi. Sijui hili lina ukweli kiasi gani, kwani sijawahi kufahamu kuwa uwekezaji wa Tanzania nchini Kenya ni kiasi gani, ili tukatae kuwa Simba wote Tanzania sio wa Kenya.
 
hakuna nchi yeye raia wanafiki,wabinafsi, wenye rohombaya kama kenya hapa africa. hivi Obama aliwatuma mfanye holiday? Titizo linalowasumbua wakenya ni kufikiri Obama ni rais wa kenya. Hii ni jinsi gani inaonesha wakenya walivyo wabinafsi kuliko nchi zingine, ni marais wangapi wame kwenda kenya hawaji Tanzania?

Na washauri wakenya wakubali kuwa Obama si rais wa kenya na wala si mkenya waache kujidanya na ndoto zao, ndio maana walitumiwa barua ya mualiko hadi leo hawaja confirm kuja kumbe ni ubinafsi umewajaa.
Wakenya wamekuwa wakina nani mpaka wawapangie wamarekani pakwenda? Hivi wakenya wanafikiri Tanzania itageuka Marekani? kweli tabia haina dawa.

Obama hakuwatuma waache kazi zao na kuanza kufanya sherehe kwa ushindi husio wahusu na huu ulikuwa ni umbea na unafiki wawa kenya na ni ulimbukeni ndio maana Watanzania hatukufanya hivyo, sasa kama wao wana humia wasuse tuu kwani sidhani kama wanacha kumfanya Obama wa cha kuifanya Tanzania.

Oboma hakuwai kusema kuwa ushindi wake kwenye uchaguzi ni ushindi wa wawa kenya wala waafrika bali alisema ni ushindi wa wamarekani wenyewe waliopiga na ambao hawakupiga kura.
HUYU MWANDISHI NI MPUMBAVU SANA
 
Back
Top Bottom