Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Elimu duni na kutojitawala kifikra kumetufanya watanzania kuwa ngazi ya mafisadi, kila chaguzi zikaribiapo, tazama mtu amekuwa kiogozi tangu mimi nazaliwa na sasa nina umri wa miaka 31 jimbo lake hakuna alichokifanya hivi tuna msubiri nani atwambie mtu huyo hatufai?
Kweli hapo panahitajia elimu ya chuo kikuu kutambua? ama ni yale yale ya tumerogwa?
Wana JF tunalionaje hili....tusaidiane maana hapa ni uwanja mpana
Kweli hapo panahitajia elimu ya chuo kikuu kutambua? ama ni yale yale ya tumerogwa?
Wana JF tunalionaje hili....tusaidiane maana hapa ni uwanja mpana