Ujerumani ina watu milioni 82 ilhali baiskeli zipo mil. 81, Tanzania baiskeli ni alama ya umaskini

Replica

JF-Expert Member
Aug 28, 2017
1,447
7,832
Nchi ya Ujerumani ina idadi ya watu milioni 82 huku watu hao wakimiliki jumla ya baiskeli milioni 81. Ujerumani inayo jumla ya magari milioni 48. Mtoto akifika miaka 11 anatakiwa kujifunza na kukata leseni ya baiskeli ili kuweza kuendesha baiskeli kwenye barabara za umma. Barabara husika nyingi zimetengwa sehemu ya waendesha baiskeli.

Jumla kulikuwa na ajali 85,000 za baiskeli nchini Ujerumani huku 372 kati yao wakipoteza maisha Cologne na Berlin zikiongoza kwa ajali! Wajerumani wameamua kujenga barabara za mwendokasi za baiskeli. Ulaya matumizi ya baiskeli ni maarufu huku Amsterdam ukiwa machampioni. Matumizi ya baiskeli yanaimarisha afya na kutochafua mazingira.

Tanzania kwa mijini wengi wanaoendesha baiskeli ni wale wasioweza kumudu gharama za nauli na kwa baadhi ya mikoa iliyokuwa na utamaduni wa kutumia baiskeli, utamaduni huo unakufa taratibu baada ya kutamalaki kwa ujio wa boda!

Taarifa kwa msaada wa DW
 
Nchi ya Ujerumani ina idadi ya watu milioni 82 huku watu hao wakimiliki jumla ya baiskeli milioni 81. Ujerumani inayo jumla ya magari milioni 48. Mtoto akifika miaka 11 anatakiwa kujifunza na kukata leseni ya baiskeli ili kuweza kuendesha baiskeli kwenye barabara za umma. Barabara husika nyingi zimetengwa sehemu ya waendesha baiskeli.

Jumla kulikuwa na ajali 85,000 za baiskeli nchini Ujerumani huku 372 kati yao wakipoteza maisha Cologne na Berlin zikiongoza kwa ajali! Wajerumani wameamua kujenga barabara za mwendokasi za baiskeli. Ulaya matumizi ya baiskeli ni maarufu huku Amsterdam ukiwa machampioni. Matumizi ya baiskeli yanaimarisha afya na kutochafua mazingira.

Tanzania kwa mijini wengi wanaoendesha baiskeli ni wale wasioweza kumudu gharama za nauli na kwa baadhi ya mikoa iliyokuwa na utamaduni wa kutumia baiskeli, utamaduni huo unakufa taratibu baada ya kutamalaki kwa ujio wa boda!

Taarifa kwa msaada wa DW
Wajinga ndio wanawaza hivyo
 
Nchi ya Ujerumani ina idadi ya watu milioni 82 huku watu hao wakimiliki jumla ya baiskeli milioni 81. Ujerumani inayo jumla ya magari milioni 48. Mtoto akifika miaka 11 anatakiwa kujifunza na kukata leseni ya baiskeli ili kuweza kuendesha baiskeli kwenye barabara za umma. Barabara husika nyingi zimetengwa sehemu ya waendesha baiskeli.

Jumla kulikuwa na ajali 85,000 za baiskeli nchini Ujerumani huku 372 kati yao wakipoteza maisha Cologne na Berlin zikiongoza kwa ajali! Wajerumani wameamua kujenga barabara za mwendokasi za baiskeli. Ulaya matumizi ya baiskeli ni maarufu huku Amsterdam ukiwa machampioni. Matumizi ya baiskeli yanaimarisha afya na kutochafua mazingira.

Tanzania kwa mijini wengi wanaoendesha baiskeli ni wale wasioweza kumudu gharama za nauli na kwa baadhi ya mikoa iliyokuwa na utamaduni wa kutumia baiskeli, utamaduni huo unakufa taratibu baada ya kutamalaki kwa ujio wa boda!

Taarifa kwa msaada wa DW
Sasa bongo baiskeli zetu unazijua mfupa bike na miundombinu yetu nayo sio rafiki sana mwenye gari anambana boda na boda nae kachomeka kwa baiskeli mambo yanakua mengi. Tuendelee kuishi tuone tutaishia wapi
 
Nchi ya Ujerumani ina idadi ya watu milioni 82 huku watu hao wakimiliki jumla ya baiskeli milioni 81. Ujerumani inayo jumla ya magari milioni 48. Mtoto akifika miaka 11 anatakiwa kujifunza na kukata leseni ya baiskeli ili kuweza kuendesha baiskeli kwenye barabara za umma. Barabara husika nyingi zimetengwa sehemu ya waendesha baiskeli.

Jumla kulikuwa na ajali 85,000 za baiskeli nchini Ujerumani huku 372 kati yao wakipoteza maisha Cologne na Berlin zikiongoza kwa ajali! Wajerumani wameamua kujenga barabara za mwendokasi za baiskeli. Ulaya matumizi ya baiskeli ni maarufu huku Amsterdam ukiwa machampioni. Matumizi ya baiskeli yanaimarisha afya na kutochafua mazingira.

Tanzania kwa mijini wengi wanaoendesha baiskeli ni wale wasioweza kumudu gharama za nauli na kwa baadhi ya mikoa iliyokuwa na utamaduni wa kutumia baiskeli, utamaduni huo unakufa taratibu baada ya kutamalaki kwa ujio wa boda!

Taarifa kwa msaada wa DW
Wajinga wanaendesha kilimo kwanza mjini wewe na baiskeli!!!
 

Attachments

  • 1DBA0588-631E-4412-B320-4FCF717581D0.jpeg
    1DBA0588-631E-4412-B320-4FCF717581D0.jpeg
    72.1 KB · Views: 2
  • 0B36982A-2AE7-4F34-BFB6-3A9CC91658AF.jpeg
    0B36982A-2AE7-4F34-BFB6-3A9CC91658AF.jpeg
    141.1 KB · Views: 1
Kuna watu hapa tized hawajui hata kusukuma baiskeli, achilia mbali kuendesha hicho chombo cha usafiri.

Ndio maana vijana (hasa wa Dar) ni legelege sana maana hawajui ku ride bike.
 
TZ watumiaji wa bicycle wengi wako mikoani ambapo hakuna jam na pembezoni mwa miji na majiji na ndiko ziliko nyingi huko. Ukienda bush ni nadra sana kukuta mji wa mtu hauna baiskeli. Kule Tabora baiskeli ndio daladala/usafiri mkuu.
 
Nchi ya Ujerumani ina idadi ya watu milioni 82 huku watu hao wakimiliki jumla ya baiskeli milioni 81. Ujerumani inayo jumla ya magari milioni 48. Mtoto akifika miaka 11 anatakiwa kujifunza na kukata leseni ya baiskeli ili kuweza kuendesha baiskeli kwenye barabara za umma. Barabara husika nyingi zimetengwa sehemu ya waendesha baiskeli.

Jumla kulikuwa na ajali 85,000 za baiskeli nchini Ujerumani huku 372 kati yao wakipoteza maisha Cologne na Berlin zikiongoza kwa ajali! Wajerumani wameamua kujenga barabara za mwendokasi za baiskeli. Ulaya matumizi ya baiskeli ni maarufu huku Amsterdam ukiwa machampioni. Matumizi ya baiskeli yanaimarisha afya na kutochafua mazingira.

Tanzania kwa mijini wengi wanaoendesha baiskeli ni wale wasioweza kumudu gharama za nauli na kwa baadhi ya mikoa iliyokuwa na utamaduni wa kutumia baiskeli, utamaduni huo unakufa taratibu baada ya kutamalaki kwa ujio wa boda!

Taarifa kwa msaada wa DW
Kinachosababisha mtu kuona Baiskeli ni alama ya umaskini ni kutojitambua na ulimbukeni,tunahitaji elimu ya makusudi ili watu wajue kwamba kuendesha Baiskeli si umaskini, bali ni zoezi na tiba.Wenzetu Ujerumani wanalitambua hili.Infact gari inabidi litumiwe tu Kama kunashida ya haraka na sehemu mbali ambapo hapawezi kufikika kwa Baiskeli au kwa kutembea.
 
Kuna watu hapa tized hawajui hata kusukuma baiskeli, achilia mbali kuendesha hicho chombo cha usafiri.

Ndio maana vijana (hasa wa Dar) ni legelege sana maana hawajui ku ride bike.
Sasa kwanini dada zenu wanakimbilia Dsm?
 
Kuna dogo mmoja kahama makazi Dar, amehamia nje kidogo ya mji.

Akawa anasema anafikiria kutumia baiskeli kama usafiri.

Kutumia baiskeli kwa usafiri Dar kuna usalama kiasi gani?
 
Kuna dogo mmoja kahama makazi Dar, amehamia nje kidogo ya mji.

Akawa anasema anafikiria kutumia baiskeli kama usafiri.

Kutumia baiskeli kwa usafiri Dar kuna usalama kiasi gani?
Awe makini tu mbona kuna wauza mayai wanatoka Tegeta hadi GMboto
 
Back
Top Bottom