Rapture Man
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 439
- 145
I no longer distribute this product. It's not profitable to retailers located in non-dense populations.
simu ya nokia imeunganishwa na mitandao yote minnemm ni mjasiriamali na niliwahi kuandika idea tya kuuza services kama hizi, lakini kulingana na maelezo yako nahc kama hayajajitisheleza, unamaanisha nini vile?
Ujasiriamali:
Uza Tanesco Luku; Vocha za modem na airtime -kwa mitandao minne; na salio la startimes kwa NOKIA C2 ya TShs. 145,000 tu. Mitandao tunayohudumia ni Tigo, Airtel, Vodacom, Zantel.
Commission unalamba baada ya kila transaction. Hauhitaji kusubiri mwisho wa mwezi.
Tunahitaji copy ya Driving license, au Voter's ID au Passport.
Upcountry retailers wataongeza TShs. 10,000 kwa usafiri wa simu.
Call 0754-260633
Kaka vipi ndugu hii ina tofauti na zile selcomwireless paypoint ?
mtu akinunua vocha namba anapataje au hii ni vocha rusha ?
Commission ni ngapi je ni 5% kama wengine au zaidi (kwenye voucher)
Commission kwenye luku ni ngapi ?
Kama ni voucher rusha kwanini simu ya kawaida isifanye, ?
Kwa ushauri wako zile paypoint kama selcom ni bora kuliko hii yako au yako ina ubora gani zaidi na kujaza salio la kuuzia unajazia wapi benki au mmpesa?
. Linganisha uzito na ukubwa wa kifaa, gharama za ku-print receipt, muda wa kupokea kamisheni yako then amua mwenyewe. Kwa sasa (kwa dar) salio tunakujazia mahali ulipo. Wa mikoani tunatumia crdb bank au mpesa.Kaka vipi ndugu hii ina tofauti na zile selcomwireless paypoint ? - Yes; Compare cost of equipment, size of equipment and start-up capital.
mtu akinunua vocha namba anapataje au hii ni vocha rusha? salio la vocha linaingia moja kwa moja kama salio, hakuna token number.
Commission ni ngapi je ni 5% kama wengine au zaidi (kwenye voucher)- angalia kamisheni hapa chini.
Commission kwenye luku ni ngapi ? 2% na unaipata (realize) kwa kila transaction (muamala)
Kama ni voucher rusha kwanini simu ya kawaida isifanye, ? simu ziko na special program. Ukiwa na samsung galaxy tunakuwekea program kwa Tshs. 70,000.
Kwa ushauri wako zile paypoint kama selcom ni bora kuliko hii yako au yako ina ubora gani zaidi na kujaza salio la kuuzia unajazia wapi benki au mmpesa?
Product/Service | Retailer Commission (Percentage of sales) |
| |
TANESCO LUKU | 2% |
| |
STARTIMES RECHARGE | 3% |
| |
MODEM TOP UPS | |
AIRTEL | 5% |
VODACOM | 5% |
ZANTEL | 5% |
TIGO | 4.5% |
| |
AIRTIME VOUCHERS | |
AIRTEL | 5% |
VODACOM | 5% |
ZANTEL | 5% |
TIGO | 4.5% |
Mkuu kuhusu uzito na ukubwa sioni kama ni disadvantage kama huu mtambo naweka ofisini kwangu tena ukubwa nadhani ni bora ugumu kuibiwa / kupotea depends lakini na mtu (ila nimeongea na hawa jamaa wengine wanasema wenyewe wanatoa mpaka DSTV sasa nyie mnadhani mtatoa hii lini (au mnatoa tayari) sababu hii ni disadvantage kwenu. Linganisha uzito na ukubwa wa kifaa,
gharama za ku-print receipt, muda wa kupokea kamisheni yako then amua mwenyewe. Kwa sasa (kwa dar) salio tunakujazia mahali ulipo. Wa mikoani tunatumia crdb bank au mpesa.