ARV
JF-Expert Member
- Sep 6, 2011
- 4,970
- 6,964
1.Ujasiri si kuzuia moyo usidunde,ni kumuonesha adui yako huogopi.
2. Ujasiri ni kukemea maovu ya serikali huku ukitumia ID halisi(kama mimi).
3. Ujasiri ni kujitahidi kuongea kwa confidence wakati uko na wenzako katika bench la kusubiria kuingia kwenye interview.
4. Ujasiri .......endeleza
2. Ujasiri ni kukemea maovu ya serikali huku ukitumia ID halisi(kama mimi).
3. Ujasiri ni kujitahidi kuongea kwa confidence wakati uko na wenzako katika bench la kusubiria kuingia kwenye interview.
4. Ujasiri .......endeleza