Uionapo hii tafadhali fungua mpendwa unahitajika msaada wa haraka

Maty

JF-Expert Member
Aug 24, 2010
2,167
725
Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile unavumilia, zinapita siku unaambiwa yule dada ni mjamzito unaumia lakini unachukulia poa si unampenda mkaka? Dada anajifungua mtoto wa kiume ndugu zake waliokua karibu na wewe wote wanahamia kwa yule dada wewe unabaki kung’ang’aa macho maisha yanaendelea, huyo mkaka akikufuata siku moja moja anakubembembeleza oh yule alijibebesha mimba na mimi siwezi kuacha mtoto wangu ateseke unakubali akishapata anachotaka humsikii mpaka akiwa na hamu na wewe.

Inapita kipindi huyo mzazi mwenzie anaanza kuonyesha her true colour watu wote wanachoka na kutoamini ni huyu kweli si ndugu si baba mtoto Mwenyewe, wanaendelea kuvumilia wakijua kapitiwa kumbe sivyo hivyo ndivyo alivyo siku zote alikua ana pretend tu ndugu wanaanza oh kaka bora yule Fulani huyu balaa kabisa, huku wewe tayari ulishaanza kumtoa akilini kidogo kidogo si mnajua wapendwa kumtoa akilini uliempenda kwa dhati ni ishu ndio anakuja mazima nisamehe mpenzi, sweet, honey, darling, sweet ukwaju, supaleta, fanta orange na mengine kibao nilipotea nikaingia pabaya lakini kuanzia leo nimekoma nitakua na wewe tu mpenzi anaongea na machozi yanamlenga akijutia yote aliyokufanyia ikumbukwe kuwa wewe umeshaanza kumtoa moyoni mwako. Swali linakuja kwenu great thinkers Je huyu mtu anafaa kupewa nafasi nyingine atakua amejirekebisha kweli au akipewa anaweza rudia yale yale nafikiri kati wote msomao hapa kuna mtu ashakumbwa na hii hali alifanyaje fanyaje?

Poleni kwa maandishi mengi kama ukiweza yasoma yote itakua vizuri tunaomba maoni yako mpendwa
 
Maty nitarudi ndefu mno. Hebu weka weka hata viparagraph vinapunga aiiii nisamehe
 
Maty Shost mie siwezi kula matapishi ,kama kaniona wa nini namie nitamuona wa kazi gani
No thank you ,sina haja ya kumfikilia mara mbili mbili
Jibu ni Nooooooooooooooooooooooooooooo.
 
Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile unavumilia, zinapita siku unaambiwa yule dada ni mjamzito unaumia lakini unachukulia poa si unampenda mkaka? Dada anajifungua mtoto wa kiume ndugu zake waliokua karibu na wewe wote wanahamia kwa yule dada wewe unabaki kung'ang'aa macho maisha yanaendelea, huyo mkaka akikufuata siku moja moja anakubembembeleza oh yule alijibebesha mimba na mimi siwezi kuacha mtoto wangu ateseke unakubali akishapata anachotaka humsikii mpaka akiwa na hamu na wewe.

Inapita kipindi huyo mzazi mwenzie anaanza kuonyesha her true colour watu wote wanachoka na kutoamini ni huyu kweli si ndugu si baba mtoto Mwenyewe, wanaendelea kuvumilia wakijua kapitiwa kumbe sivyo hivyo ndivyo alivyo siku zote alikua ana pretend tu ndugu wanaanza oh kaka bora yule Fulani huyu balaa kabisa, huku wewe tayari ulishaanza kumtoa akilini kidogo kidogo si mnajua wapendwa kumtoa akilini uliempenda kwa dhati ni ishu ndio anakuja mazima nisamehe mpenzi, sweet, honey, darling, sweet ukwaju, supaleta, fanta orange na mengine kibao nilipotea nikaingia pabaya lakini kuanzia leo nimekoma nitakua na wewe tu mpenzi anaongea na machozi yanamlenga akijutia yote aliyokufanyia ikumbukwe kuwa wewe umeshaanza kumtoa moyoni mwako. Swali linakuja kwenu great thinkers Je huyu mtu anafaa kupewa nafasi nyingine atakua amejirekebisha kweli au akipewa anaweza rudia yale yale nafikiri kati wote msomao hapa kuna mtu ashakumbwa na hii hali alifanyaje fanyaje?

Poleni kwa maandishi mengi kama ukiweza yasoma yote itakua vizuri tunaomba maoni yako mpendwa
Maty... huyo hafai hata kwa service

he doesnt deserve you, usijishushe that much, anakuchezea tu
 
Maty nimekupata na nimekuelewa, lakini sasa kuna kitu mi nafikiriaga, wanaume hawajui wanachokitaka. Unampenda huyu unarukia kule unarudi huku sijui kwa nini? Lakini hapo ni moyo wa mtu mwenyewe utapima ukiridhia kumkubali basi amkubali tu!!!
 
Dena acha uvivu my dia!! umeamkaje lakini??

Maty, kumrudia nisawa na kuoga then ukabadili nguo zote ila ukavaa chu** ile ile uliyoshindia kutwa nzima!! kwangu mie angeeishia kuoga tu ila mjini asingeingia!!

habari ndio hiyo
 
Kwamba usham-welcome back mara tatu?
Kwamba unataka, sitaki?
 
Maty nimerudi kwa heshima nakusoma kwa makini na kuelewa.

Haya Baby come back ndo inapoapply hapo. Bwana samehe saba mara sabini dear huyu atakuwa mnyenyekevu kwa sasa sababu kashaumwa na nyoka tayari.

Cha msingi hapo ni kuanzia ANGAZA na maisha yaendelee japokuwa ni ngumu lakini bana usihangaike sana maisha yenyewe ni so siku hizi
 
Dena acha uvivu my dia!! umeamkaje lakini??

Maty, kumrudia nisawa na kuoga then ukabadili nguo zote ila ukavaa chu** ile ile uliyoshindia kutwa nzima!! kwangu mie angeeishia kuoga tu ila mjini asingeingia!!

habari ndio hiyo

Baby come back tayari mama nimesoma
 
Hii thredi imefikaje huku kunako chitchat.....mods hapa hamjafanya sawa!
 
Maty nitarudi ndefu mno. Hebu weka weka hata viparagraph vinapunga aiiii nisamehe

Hahahaa soma bana acha uvivu stori nyingine haziwezekani kuwa fupi sema tu nimekosea sijaweka paragraph za kutosha
 
Maty... huyo hafai hata kwa service

he doesnt deserve you, usijishushe that much, anakuchezea tu


Thanks broda hii kitu nitaprint ushauri wenu wote na kuupeleka maana hiyo kitu haielewi, nikisema mimi nitaonekana naona wivu
 
Binafsi nisingeweza kumrudia ila ningemsamehe na aendelee na mambo yake.
 
Maty nimerudi kwa heshima nakusoma kwa makini na kuelewa.

Haya Baby come back ndo inapoapply hapo. Bwana samehe saba mara sabini dear huyu atakuwa mnyenyekevu kwa sasa sababu kashaumwa na nyoka tayari.

Cha msingi hapo ni kuanzia ANGAZA na maisha yaendelee japokuwa ni ngumu lakini bana usihangaike sana maisha yenyewe ni so siku hizi

Dena ushauri wako ni mzuri sana mama, huyu mtu asharudiwa zaidi ya hiyo mara sabini lakini kila siku ni visa tu, yaani alikua na dharau sana sema tu dada wa watu alimpenda na alikua haoni sijui kwa sababu huyo jamaa ni handsome mimi hata sielewi na alikua kila akimkosea anamkamubakisha jamaa akishapata atakacho anasepa, hapo kuja kusikika baada ya mwezi au miezi miwili anamtafuta tena dada anakubali akimaliza shida zake anasepa sasa ndio anajifanya amerudi mazima kweli huyu ni wa kusamehe?
 
Binafsi nisingeweza kumrudia ila ningemsamehe na aendelee na mambo yake.


Na yeye alifanya hivyo hivyo akamsamehe na kuendelea na mambo yake lakini leo ni siku ya tatu anamsumbua kwa msg na simu mpaka kero akibembeleza kuwa hatorudia tena maana anakosa hata cha kumjibu kesha mjibu maneno yote ila haelewi.
 
Maty nimekupata na nimekuelewa, lakini sasa kuna kitu mi nafikiriaga, wanaume hawajui wanachokitaka. Unampenda huyu unarukia kule unarudi huku sijui kwa nini? Lakini hapo ni moyo wa mtu mwenyewe utapima ukiridhia kumkubali basi amkubali tu!!!

Yaani mimi ndio nachokaga kabisa wanaume hawatabiriki hata kidogo sijui wameumbwaje yarabi
 
Mimi namsamehe na kumshukuru kwa mafunzo aliyonipa.....nachapa mwendo....fikiria mtu ameenda kusoma umemsubiri kwa upendo,si kwamba wengine walikuwa hawakuoni ila kwa kuwa unampenda.....amerudi anataka mtoto,akaombwa asubiri kidogo then akaenda zaa na mwingine.......HAPANA......let him go,hilo somo alilopata litamsaidia mwingine....start afresh.....!!!
 
Mimi namsamehe na kumshukuru kwa mafunzo aliyonipa.....nachapa mwendo....fikiria mtu ameenda kusoma umemsubiri kwa upendo,si kwamba wengine walikuwa hawakuoni ila kwa kuwa unampenda.....amerudi anataka mtoto,akaombwa asubiri kidogo then akaenda zaa na mwingine.......HAPANA......let him go,hilo somo alilopata litamsaidia mwingine....start afresh.....!!!

Thanks michele nafikiri hicho ndio anatakiwa kufanya
 
Maty (Matilida!),

Remember Mke wa Lutu? Aligeuka nyuma!

"... As they make their (Lot and his family) escape, the angels command Lot and his family not to look back under any circumstance.... Lot's wife looks back at the city in defiance of the angels' specific command, and she becomes a pillar of salt"

Unaweza kumuona hapo kwenye hii picha-ya-kuchorwa!




Source : Wikipedia
 
Hivi wapenzi, mtu unakua na mpenzi wa toka enzi hizo mko vijana anaondoka anaenda kusoma anarudi mnaanza tena mahusiano anakwambia anataka mzae unamwambia subiri kidogo nimalizie mambo Fulani, anasema poa hazipiti siku unamkuta na demu anakwambia huyu tulikutana tu sio mtu wangu kivile unavumilia, zinapita siku unaambiwa yule dada ni mjamzito unaumia lakini unachukulia poa si unampenda mkaka? Dada anajifungua mtoto wa kiume ndugu zake waliokua karibu na wewe wote wanahamia kwa yule dada wewe unabaki kung’ang’aa macho maisha yanaendelea, huyo mkaka akikufuata siku moja moja anakubembembeleza oh yule alijibebesha mimba na mimi siwezi kuacha mtoto wangu ateseke unakubali akishapata anachotaka humsikii mpaka akiwa na hamu na wewe.

Inapita kipindi huyo mzazi mwenzie anaanza kuonyesha her true colour watu wote wanachoka na kutoamini ni huyu kweli si ndugu si baba mtoto Mwenyewe, wanaendelea kuvumilia wakijua kapitiwa kumbe sivyo hivyo ndivyo alivyo siku zote alikua ana pretend tu ndugu wanaanza oh kaka bora yule Fulani huyu balaa kabisa, huku wewe tayari ulishaanza kumtoa akilini kidogo kidogo si mnajua wapendwa kumtoa akilini uliempenda kwa dhati ni ishu ndio anakuja mazima nisamehe mpenzi, sweet, honey, darling, sweet ukwaju, supaleta, fanta orange na mengine kibao nilipotea nikaingia pabaya lakini kuanzia leo nimekoma nitakua na wewe tu mpenzi anaongea na machozi yanamlenga akijutia yote aliyokufanyia ikumbukwe kuwa wewe umeshaanza kumtoa moyoni mwako. Swali linakuja kwenu great thinkers Je huyu mtu anafaa kupewa nafasi nyingine atakua amejirekebisha kweli au akipewa anaweza rudia yale yale nafikiri kati wote msomao hapa kuna mtu ashakumbwa na hii hali alifanyaje fanyaje?

Poleni kwa maandishi mengi kama ukiweza yasoma yote itakua vizuri tunaomba maoni yako mpendwa

ndioooooo samehe mara 70. umesahau ...........haijalishi bana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom