Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,322
- 33,126
SERIKALI ya Uingereza imetoa shilling Bilion. 25 kuisaidia Tanzania kwa ajili ya shughuli ya sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kuanza Agosti 26 mwakani. Jana Balozi wa Uingereza nchini Bi. Diane Corner alikabidhi msaada huo, uliotolewa na nchi hiyo na kukabidhi msaada huo kwa Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustapha Mkulo
Waziri Mkulo aliishukuru serikali hiyo kwa kutambua pengo lao na kushukuru kwa kusema msaa huo umekuja wakati muda muafaka
Alisema seriklai hiyo imefanya vyema kukabidhi msaada huo kwani kulikuwa na gharama kubwa katika zoezi hjilo na kwa fefehda hizo watajipanga vyema na kuhakikisha zoezi hilo litafanyaika kama ilivyopangwa
Nae Bi Corner amesema kuwa serikali yake inajua kiasi hicho cha fedha, kitasaidia kufanikisha sensa ya mwaka 2012, ambayo matokeo yake yatasaidia katika kuweka mikakati ya kupunguza umasikini nchin
"Kiasi hicho cha fedha kitaziba pengo la robo ya bajeti nzima ya sensa, ambalo Serikali ya Tanzania iliomba nchi wahisani kulijazia" alisema Balozi huyo
Chanzo: Uingereza yasaidia Tanzania
Sisi Wa Tanzania kwa kupenda misaada!! itabidi tukubali mambo anayo yataka Mr David Cameroon aahahahahahhahaah kutegemea misaada kila siku kunaponza jamani........
Waziri Mkulo aliishukuru serikali hiyo kwa kutambua pengo lao na kushukuru kwa kusema msaa huo umekuja wakati muda muafaka
Alisema seriklai hiyo imefanya vyema kukabidhi msaada huo kwani kulikuwa na gharama kubwa katika zoezi hjilo na kwa fefehda hizo watajipanga vyema na kuhakikisha zoezi hilo litafanyaika kama ilivyopangwa
Nae Bi Corner amesema kuwa serikali yake inajua kiasi hicho cha fedha, kitasaidia kufanikisha sensa ya mwaka 2012, ambayo matokeo yake yatasaidia katika kuweka mikakati ya kupunguza umasikini nchin
"Kiasi hicho cha fedha kitaziba pengo la robo ya bajeti nzima ya sensa, ambalo Serikali ya Tanzania iliomba nchi wahisani kulijazia" alisema Balozi huyo
Chanzo: Uingereza yasaidia Tanzania
Sisi Wa Tanzania kwa kupenda misaada!! itabidi tukubali mambo anayo yataka Mr David Cameroon aahahahahahhahaah kutegemea misaada kila siku kunaponza jamani........