DesertStorm
JF-Expert Member
- Nov 22, 2015
- 2,385
- 1,566
Mbunge mpya wa Uingereza 🇬🇧 aliyechaguliwa huko Bradford George Galloway atangaza Jiji la Uingereza 🇬🇧 kuwa👇
"Eneo lisilo na Israeli 🇮🇱"
"Tumetangaza Bradford kuwa eneo lisilo na Israel 🇮🇱. Hatutaki bidhaa zozote za Israeli, hatutaki huduma zozote za Israeli 🇮🇱, hatutaki.
Hatutaki Wasomi wowote wa Kiisraeli, na hata hatutaki Mtu yeyote aje."Mtalii yeyote wa kiisrael kuja Bradford.....
Ni msimamo wenye busara, kama anayo yaongea ni yakweli basi ni jambo jema, japo sina imani nao hawa watu, tangu wawahamishie kwenye ardhi yao 1947!