Pretty
JF-Expert Member
- Mar 19, 2009
- 2,575
- 552
Mwanzo wakunyonya kidole unanjia mbili, moja mtoto mdogo sana kuanzia siku moja huwa ni njaa na mbili Mtoto mkubwa kidogo kama miaka miwili yawezakuwa kuiga. Baadae inakuwa mazoea ya hiyo tabia. Ikishakuwa mazoea basi hunyonya hata akiwa kashiba au usingizini.
.....Mwanangu alikuwa hanyonyi kidole before daycare , baada ya kuanza nursery school tu,
hapo akiwa na 2 yrs. Akaanza kunyonya kidole, nikagundua kaiga kwa mtoto ambaye yupo pembeni mwa kiti chake.
Nikamwambia mwalimu awatenganishe wakae far apart from each other. Na nikawa mkali, kila anaponyonya kidole
I used to pinch him. Baada ya mwezi tu akaacha, na sasa yupo 3 yrs sijaona kamwe akinyonya kidole.