Uhusiano wa mapepo na wanawake

incinc

Member
May 23, 2023
17
24
Leo nilikuwa nafatilia ibada ya mtumishi mwamposa kwenye ibada maalum ya ukombozi.

Nimeona asilimia 99.9 walio akunguka na kukimbilia madhabauni kwa mapepo ni wanawake.

Je kuna uhusiano gani mapepo na wanawake....kwann wanawake wengi wanakumbwa na hayo mapepo
 
Leo nilikuwa nafatilia ibada ya mtumishi mwamposa kwenye ibada maalum ya ukombozi...nimeona asilimia 99.9 walio akunguka na kukimbilia madhabauni kwa mapepo ni wanawake...Je kuna uhusiano gani mapepo na wanawake....kwann wanawake wengi wanakumbwa na hayo mapepo
Hata nyoka hakwenda kumdanganya Adam bali alikwenda kwa Hawa na akamdanganya.

Mapepo yanajua kuwa wanawake hudanganyika kirahisi hivyo huwavagaa wao kwa wingi
 
Chombo ikiwa kichafu usitegemee maji yatakayokingwa humo yatakuwa salama.
Mkeo akiwa na majini ustarajie mtoto na wewe unaeoa huyu mwanamke na kuwa kitu kimoja mtakuwa salama.
RUDI pale mwanzo.
Piga mwanamke na UZAO wake utapigika na ndio series inaendelea kufuata uzao kizazi na vizazi.
 
Ndivyo asili ilivyo, rudi kwenye Biblia, jiulize ni kwa nini shetani hakutaka kumrubuni mwanamme Adam, ila alimrubuni mkewe? Na maandiko mengi, utagundua loophole iliyopo kwenye kiumbe aitwaye Mwanamke
 
Leo nilikuwa nafatilia ibada ya mtumishi mwamposa kwenye ibada maalum ya ukombozi...nimeona asilimia 99.9 walio akunguka na kukimbilia madhabauni kwa mapepo ni wanawake...Je kuna uhusiano gani mapepo na wanawake....kwann wanawake wengi wanakumbwa na hayo mapepo
Kwani Ke aliongea na kiumbe gani bustanini Eden?

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Leo nilikuwa nafatilia ibada ya mtumishi mwamposa kwenye ibada maalum ya ukombozi...nimeona asilimia 99.9 walio akunguka na kukimbilia madhabauni kwa mapepo ni wanawake...Je kuna uhusiano gani mapepo na wanawake....kwann wanawake wengi wanakumbwa na hayo mapepo
Hakuna mapepo, hizo habari za mapepo ni longolongo za watu tu.

Wale wanawake wengi wana matatizo ya kisaikolojia. Wengi wana msongo wa mawazo. Wengi wana ombwe katika maisha, career, familia.Wengi wanatafuta waume na watoto. Wengine wanatafuta jinsi ya kulea watoto wao katika nchi yenye uchumi mbaya.

Wanaweza kufanya mengi ya ajabu wakiamrishwa na mwanamme anayejiamini.

Na huyo mwanamme anayejiamini akiweza kuweka narrative ya mysticism, super natural power kama mganga wa kienyeji au nabii wa Mungu, hao wanawake uwezo wao wa kufanya mambo usiyotegemea unazidi.

By the way si wanawake tu, hata wanaume wa hivyo wapo.

Ni kupenda miujiza tu na kuwa na saikolojia ya kupenda kuongozwa na mtu mwenye miujiza.
 
Hakuna mapepo, hizo habari za mapepo ni longolongo za watu tu.

Wale wanawake wengi wana matatizo ya kisaikolojia. Wengi wana msongo wa mawazo. Wengi wana ombwe katika maisha, career, familia.Wengi wanatafuta waume na watoto. Wengine wanatafuta jinsi ya kuoea watoto wao katika nchi yenye uchumi mbaya.

Wanaweza kufanya mengi ya ajabu wakiamrishwa na mwanamme anayejiamini.

Na huyo mwanamme anayejiamini akiweza kuweka narrative ya mysticism, super natural power kama mganga wa kienyeji au nabii wa Mungu, hao wanawake uwezo wao wa kufanya mambo usiyotegemea unazidi.

By the way si wanawake tu, hata wanaume wa hivyo wapo.

Ni kupenda miujiza tu na kuwa na saikolojia ya kupenda kuongozwa na mtu mwenye miujiza.
Nakumbuka mkuu wetu wa shule alikua anacharaza bakora ukitia una pepo.
 
Kuna muislam mmoja aliniambia eti sababu wanawake ni wasafi sana,hvyo mapepo hupenda mahali pasafi

PIa kwann visichana vingi vinavyokuja kufanya kaz daslam vikitokea mikoan huwa vikirud huku mikoani vinarud vikiwa na mapepo
 
Kuna mkuu wa shuleni sehemu fulani mkoa wa Njombe alikuwa mwanafunzi wa kike akianguka mapepo anamwita mzazi anamkabidhi mtoto wake na kumwambie aende nae nyumbani, siku akiona amepona kabisa na hana hamu tena ya kuanguka mapepo atamrudisha shuleni. Tabia iliisha kabisa.
Shule walikua wanajifanya wana mapepo kumbe uongo tu
 
Wanawake hata ukimfumania anaweza jiangusha akajikausha kukuigizia kuwa kapoteza fahamu. Unatakiwa kuwa nae makini sana itikadi zake usizipe kipaumbele.

Hayo ni maigizo ili wamuonyeshe mwamposa kuwa maombi yanawaingia.

We mapepo unayajua vizuri?
 
Back
Top Bottom