zegamba180
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 819
- 530
Jamani wadau naomba kujuzwa hili. Jana katika kutafuta ndege aitwaye kanga ili nianze kufuga, nikakutana na hili; eti ukiwa Malaya kanga hawatagi na watakukimbia????
Nimeambiwa na mfugaji mzoefu.
Nimejiuliza sana uhusiano uliopo kati ya ndege kanga na umalaya! Cjapata jibu, nimelileta kwenu wazoefu wa mfugo huu.
Nimeambiwa na mfugaji mzoefu.
Nimejiuliza sana uhusiano uliopo kati ya ndege kanga na umalaya! Cjapata jibu, nimelileta kwenu wazoefu wa mfugo huu.