Uhuru na Mapinduzi ya Zanzibar

NCCR wamechemsha maana 1963 Uhuru wenyewe nchi iliendeshwa na Sultan, (actually Uhuru halisi wa Zenj ulikuja baada ya Karume kufa - April 7th)(yes i kno wengine mtakasirika kusikia hiyo...)


Hatukasiriki kwani siku hiyo kuna mtu alitimiza lengo lake na kuimeza Zanzibar kwa ujumla. Kabla ya tarehe hiyo kulikuwa na mtu aliekuwa ngangari na jitihada zilipotimu nchi akapewa Mtanganyika nae kama alivyosema mwenyewe 'mtu kwao' akaigawa Zanzibar.
 
shukran Jokakuu, waafrika hawakuutambua Uhuru ndio wakapinduwa. Jee Washirazi hawamo ? Eeeee ndio maana karume akawataka wachukuwe jinsiya (Tajnisi), maanake si Waafrika! heheheheeee
 
Hatukasiriki kwani siku hiyo kuna mtu alitimiza lengo lake na kuimeza Zanzibar kwa ujumla. Kabla ya tarehe hiyo kulikuwa na mtu aliekuwa ngangari na jitihada zilipotimu nchi akapewa Mtanganyika nae kama alivyosema mwenyewe 'mtu kwao' akaigawa Zanzibar.
Gozi fumu tafadhali fafanua zaidi hapa. Hii ndio transparency!!!! Tueleze .
 
shukran Jokakuu, waafrika hawakuutambua Uhuru ndio wakapinduwa. Jee Washirazi hawamo ? Eeeee ndio maana karume akawataka wachukuwe jinsiya (Tajnisi), maanake si Waafrika! heheheheeee
Joka Kuu sijui anachukulia mantiki gani? Waafrika ( Ni Wakenya pamoja na Wasomali pamoja na Wasudani). Washirazi -kwa mintarafu ya Zanzibar- Ni watu ambao chimbuko lao limetokana na Washirazi. (Watu waliotoka Iran )eneo la Shiraz ambao walikuja na majahazi Zanzibar na kuoa wenyeji- kwa kule kwetu kabila la mtu linatokana na Baba- kwa hivyo wenyeji wakapoteza ukabila wao katika kizazi kipya na hivyo ndio maana ya kuchimbuka kwa Wa-Shiraz wa Kizanzibari. Sasa Wazanzibari Washirazi wapo tu tena ndio wengi katika visiwa hivyo. Hiyo ni historical and sociological aspect of the Zanzibaris.
 
Pakacha,Mtwike,

..waZanzibari mkiachana na kasumba yenu ya UALABU mtaishi maisha mazuri sana.

..kama ndani ya mioyo yenu na akili zenu mnajiona Washirazi au Waarabu basi jaribuni kurudi Iran au Oman na mdai haki zote kama raia wa nchi hizo.
 
Pakacha,Mtwike,

..waZanzibari mkiachana na kasumba yenu ya UALABU mtaishi maisha mazuri sana.

..kama ndani ya mioyo yenu na akili zenu mnajiona Washirazi au Waarabu basi jaribuni kurudi Iran au Oman na mdai haki zote kama raia wa nchi hizo.
Joka K. Tatizo lako hutaki kufahamu. Zanzibar ni kisiwa. Wameingia wengi tu. Waafrika (kutoka katika Bara kuu la Afrika-Tanganyika, Malawi, Msumbiji, Somali, Misri,Kenya, Uganda na kwengineko). Wameingia wahindi kutoka India, Pakistan, Wameiingia Wa-iran. Wa-Oman, Wa -China, Wazungu kwa sababu mbali mbali. Wote hao walioa wenyeji, na nkizazi kilichifuatia kikajinasibu kwa kabila la Baba (au sehemu anakotoka Baba). Lakini kimsingi kizazi kilichofuatia ni Mzanzibari. Sasa hakuna pale Zanzibar kitu kama Mwarabu au Mhindi au Mngazija au Mchina au Muafrika au Mshirazai bali kuna Mzanzibari tu.Sasa awe mweupe mwekundu hudhurungi- Ni Mzanzibari.
 
Joka kuu kwani WaTanganyika unajua ni kutoka wapi ? Mktaka msitake Uhuru wa Zanzibar upo ,maana karibu nchi zote zilipata Uhuru na kwa Taarifa yenu Zanzibar haikutawaliwa kama ilivyotawaliwa Tanganyika ,sijui kama mnalielewa hilo ?
Maana huo Uhuru ulipata Zanzibar haufanani na ule wa nchi zingine za Afrika kabsaa ,ukisoma tarehe za Zanzibar hutaweza kuona kuwa Zanzibar ilitawaliwa zaidi ya kusoma na kuondoka na michomekeo ambayo ndio hii inayowahangaisha na kuwafanya hamjui msemalo.
 
...Sasa hakuna pale Zanzibar kitu kama Mwarabu au Mhindi au Mngazija au Mchina au Muafrika au Mshirazai bali kuna Mzanzibari tu.Sasa awe mweupe mwekundu hudhurungi- Ni Mzanzibari.

...Pakacha,

Nakubali wahindi (mfano kina Muzzamil, Suma, nk) wamemezwa kwenye kundi la Wamakunduchi, lakini iwapo pangekuwa na mzanzibari pekee, leo hii tusingesikia malumbano ya; Wapemba hao, Wamakunduchi hao, Wanyamwezi (machogo) hao, wangazija hao...bila kuwasahau Watumbatu!

Hizi tofauti zinazo tamkwa wazi wazi ndizo zinazoletesha mgawanyiko baina ya kisiwa cha Unguja, Pemba na Wazanzibari wenye asili ya bara...

...kwa muono wangu!
 
Utawala wa kisultan ulikuwa wa kidhalim?

na je wa Karume ulikuwa wa nini???
 
Last edited:
Nitayanukuu maneno ya Juma Duni

"SIKU YA UHURU IPO NA ITAENDELEA KUKUWEPO CCM WAKITAKA WASITAKE"
 
Mbona mnapotosha historia!
Mtawala alikuwa Sultni au Muingereza?
Kasumba ya watawala kupotosha historia tu, na wa Tanganyika ndio kabisa!
Kama Mtawala alikuwa Sultani, uhuru 10 disemba '63 tulipewa toka kwa nani?
Someni Historia, Sultani alikuwa na Madaraka gani kabla na baada ya Uhuru?
Chama cha Kikabila AFRO -SHIRAZI, kiliundwa na nani?
 
Mtwike,

..Sultani wa kwanza alitokea Oman na kujitwalia utawala ZNZ.

..baadae akaja Muingereza wakawa na makubaliano yao na Sultani.

..huo Uhuru wa 63 ulirudisha madaraka kwa Sultani.

..madaraka yalipaswa kurudishwa kwa Waafrika siyo Sultani. Kwa sababu hiyo basi Uhuru ule ulikuwa kiinimacho tu, na ndiyo sababu ya Waafrika kufanya Mapinduzi.
 
Uhuru wa Zanzibar ulikuwa mwaka 1963 na Mapinduzi yalifanywa mwaka 1964. Kwamba yalifanyika Mapinduzi hailiondoi ukweli kuwa uhuru ulipatikana siku hiyo na tarehe hiyo. Kuhusu uhusiano wa usultani na serikali iliyopinduliwa, msomaji anashauriwa asome references tafauti za waandishi tafauti, sio aelemee kumoja tu kunakolazimisha ionekane kwamba waarabu wa omani ndio waliopinduliwa. Think outside the box, wanavyosema Waingereza
 
Akipenda chongo huita kengeza!
lete facts.
hicho unachodai kiini macho, pia wabaguzi wa Afro walishiriki?
 
Mtwike,

..Sultani wa kwanza alitokea Oman na kujitwalia utawala ZNZ.

..baadae akaja Muingereza wakawa na makubaliano yao na Sultani.

..huo Uhuru wa 63 ulirudisha madaraka kwa Sultani.

..madaraka yalipaswa kurudishwa kwa Waafrika siyo Sultani. Kwa sababu hiyo basi Uhuru ule ulikuwa kiinimacho tu, na ndiyo sababu ya Waafrika kufanya Mapinduzi.
Naona mnababaishana Sultan alihamishia makao yake makuu Zanzibar kutoka Oman ndivyo inavyoeleweka ,Zanzibar ilipewa au ilijinyakulia Uhuru ikiwa na serikali yake kamili Sultani baada ya Uhuru alikuwa kama nembo ya Zanzibar , jambo ambalo hadi leo lipo Uingereza na baadhi ya nchi za Scandinavia au si kweli ?
Zanzibar ilikuwa haina cheo cha Raisi wakitumia Prime Minister kama Uingereza ,hivyo wakizuka WaZanzibari wakidai cheo cha Uraisi kiondoshwe na kirudishwe cha Cheo cha Sultani na kiwepo kama nembo ya Zanzibar basi hawatakuwa wageni tutaweka ukoo wa Karume uwe ndio unaotoa Masultani na Maprincess wa Zanzibar wakikataa tutautafuta ule ukoo wa Masultani wa mwanzo kama upo tutaushauri kama utakubali kuendeleza Sultanates of Zanzibar ,ikiwa haupo basi DNA test itafanyika Zanzibar nzima kuona kama yupo mwenye kauhusiano na Sultani wa Zanzibar.

Huenda mwaka huu sherehe ya Uhuru wa Zanzibar ikasheherekewa kitaifa ,maana haieleweki waTanganyika iweje wao wanasheherekea sherehe za Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar wanaigeuza ile siku ya watu waliopoteza roho zao kuwa ndio siku ya uhuru ,msiba unageuzwa furaha ,mnawafanya WaZanzibari mazuzu ,msiba uliotayarishwa na WaTanganyika na mamluki kutoka msumbiji kuiondoa serikali ya kiraia kwa kuwa tu inaendana na siasa za kuwepo kwa Mfame basi nendeni mkapindue Uingereza.
 
Mtwike,

..Sultani wa kwanza alitokea Oman na kujitwalia utawala ZNZ.

..baadae akaja Muingereza wakawa na makubaliano yao na Sultani.

..huo Uhuru wa 63 ulirudisha madaraka kwa Sultani.

..madaraka yalipaswa kurudishwa kwa Waafrika siyo Sultani. Kwa sababu hiyo basi Uhuru ule ulikuwa kiinimacho tu, na ndiyo sababu ya Waafrika kufanya Mapinduzi.

Hakuna Sultani(Mfalme) alietokea alikotokea na kujitwalia madaraka ,ikiwa unataka ieleweke hivyo ni lazima uonyeshe (Fact) ni nani alikuwa Mtawala kabla ya Sultani kujitwalia madaraka. tafuta sababu za kuwepo kwa Sultani hapo Zanzibar.

Unasema baadae akaja Muingereza wakawa na makubaliano ,Je ni makubaliano gani hayo ?


Madaraka yalipaswa kurejeshwa kwa Waafrika ,hivi unaelewa maana ya Waafrika si ajabu kwa usomi wako unaona Waafrika ni watu weusi peke yao tu ,ndivyo hivyo mnavyoleweshwa kasumba na kuona waarabu wote ni waislamu au sivyo ? Poleni sana.

Wamisri ni weupe kama karatasi nao ni Waafrika ,kiongozi wa AU kwa sasa ni Canal Kikwete sorry Colonel Gadaff ni mweupe kama utomvu wa papai ni Mwafrica ,naona mnakosa kitu katika kutaka kuwakilisha mtu mweusi maana kwa hakika zenu Muafrika ni mtu mweusi ,Kwa ufupi utawala wa Sultani CCM karibu utafikia mwisho hilo halina mjadala WaZanzibari wa hoi na waTanganyika wapo njia panda.
 
Back
Top Bottom