Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,790
Huyu jamaa Raisi wa Kenya, amezaliwa kwenye Utajiri, amekulia kwenye Utajiri na wala hajui Umaskini ni nini, amekuwa Raisi wa Kenya lkn bado tu anawaibia masikini wa Kenya, kwa nini?
Uhuru Kenya alipaswa awe anatoa fedha kwa ajili ya charity sasa na siyo kuendelea kuibia Wakenya!
Wakenya kama mnajipenda, ondoeni huyu jamaa Ikulu, atawafilisi!
Uhuru kin in Sh5bn health scandal: Raila
Uhuru Kenya alipaswa awe anatoa fedha kwa ajili ya charity sasa na siyo kuendelea kuibia Wakenya!
Wakenya kama mnajipenda, ondoeni huyu jamaa Ikulu, atawafilisi!
Uhuru kin in Sh5bn health scandal: Raila