RockSpider
JF-Expert Member
- Feb 16, 2014
- 6,861
- 2,754
Nimepokea kwa masikitiko Makubwa kuwa tume imekataa Wanafunzi kupiga kura za Urais popote walipo ... Nini kifanyike ili waweze kupiga kura coming October 25?
Kwa nini Nec isiweke vituo kwa kila chuo ili wanafunzi wapige kura?
Hiyo ni njia ya Kupunguza kura za LOWASSA.
Nimepokea kwa masikitiko Makubwa kuwa tume imekataa Wanafunzi kupiga kura za Urais popote walipo ... Nini kifanyike ili waweze kupiga kura coming October 25?
Cha msingi viongozi wa UKAWA wajipange tu...Nimepokea kwa masikitiko Makubwa kuwa tume imekataa Wanafunzi kupiga kura za Urais popote walipo ... Nini kifanyike ili waweze kupiga kura coming October 25?
Haki ya kuchagua ama kuchaguliwa ipo kisheria ... Methodology haiwezi kuwa sababu za kunyima Mwanafunzi kuchagua eti kwa kuwa Uandikishaji Ulifanyika wakati Vyuo havijafungwa na Upigaji Kura Utafanyika wakati Kura zinapigwa !! CCM wajinga sana ... wanafikiri kwa kufanya hivyo watapunguza ari ya mabadiliko nchini .... Wito wangu Wanafunzi wajipange wapatiwe Usafiri wa Kuwawezesha kufika maeneo yao ya kupiga kura ...
Nimepokea kwa masikitiko Makubwa kuwa tume imekataa Wanafunzi kupiga kura za Urais popote walipo ... Nini kifanyike ili waweze kupiga kura coming October 25?
Cha msingi viongozi wa UKAWA wajipange tu...
Either waongee na tume kuishauri tume iwaruhusu wanachuo wapigie kura za urais popote walipo. Tume ikikataa basi itafutwe orodha ya wanachuo waliojiandikisha, kisha uongozi wa ukawa uitishe harambee ya kuchangia Safari za wanachuo wote kwenda kupiga kura bila kujali itikadi ya vyama vyao kwa sababu kupiga kura ni haki ya kila mtanzania. Mwaka huu ni mpango wa Mungu kuikomboa Tanzania kutoka kwa mkoloni so huwezi zuia kiu ya mabadiliko waliyonayo wananchi. Naomba viongozi wa ukawa wafanyie kazi suala hili kwa nguvu zote.. tuko nyuma yenu viongozi wetu wapenda mabadiliko....