Dkt. Gwajima D
JF-Expert Member
- Nov 28, 2015
- 543
- 3,575
Wapendwa Wana JF Salaam.
Awali ya yote, NAWAPONGEZA SANA wote ambao wanaunga mkono kwa Kila mbinu katika mapambano dhidi ya UKATILI Wa KIJINSIA na kwa WATOTO. AHSANTENI SANA 🙏🏽🤝
Hata hivyo, TAFADHALI hii tusikilize hii Video hapa iliyoambatishwa, tuulize maswali na tutoe maoni. Waziri wenu wa jamii niko hapa mubashara na elimu kwa jamii.
Swali lako, maoni yako na mchango wako kwenye hoja hii inayosikika kwenye video hii, ni WA THAMANI SANA NA MUHIMU SANA kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu. Maendeleo na Ustawi wa Jamii yetu ni JUKUMU LETU SOTE
Karibuni.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Awali ya yote, NAWAPONGEZA SANA wote ambao wanaunga mkono kwa Kila mbinu katika mapambano dhidi ya UKATILI Wa KIJINSIA na kwa WATOTO. AHSANTENI SANA 🙏🏽🤝
Hata hivyo, TAFADHALI hii tusikilize hii Video hapa iliyoambatishwa, tuulize maswali na tutoe maoni. Waziri wenu wa jamii niko hapa mubashara na elimu kwa jamii.
Swali lako, maoni yako na mchango wako kwenye hoja hii inayosikika kwenye video hii, ni WA THAMANI SANA NA MUHIMU SANA kwa maendeleo na ustawi wa jamii yetu. Maendeleo na Ustawi wa Jamii yetu ni JUKUMU LETU SOTE
Karibuni.
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app