Joseph Isaack
JF-Expert Member
- Aug 8, 2011
- 450
- 89
Ni Mwalimu idara ya elimu secondary nipo katika jiji la Mwanza manispaa ya Ilemela. Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae kutoka manispaa yoyote ya mko wa Dsm au manispaa ya Kibaha. Kwa aliye tayari ani-PM.