acha pressure kijana deadline yenyewe ilikua juzi tarehe 21 kwa uwezo wako wa kufikiri unaona watakua wameshachuja hayo majina?hapa subiri mpaka march mwishoni au april na fuatilia sana majira.mtanzania au mwananchi ndio hupenda kutangaza huko majinaHabari zenu wakubwa!ndugu zangu wana JF kuna rafiki angu anauliza kwa yeyote yule aliye na taalifa juu ya nafasi za kazi zililzoombwa imefikia wapo na je washaweka shortlist..?
Habari zenu wakubwa!ndugu zangu wana JF kuna rafiki angu anauliza kwa yeyote yule aliye na taalifa juu ya nafasi za kazi zililzoombwa imefikia wapo na je washaweka shortlist..?
Mbona mnamparamia mwenzenu jaman, kauliza kwa uzuri, mambo ya kiherehere, mara kama hana ndugu asitegemee, kila mtu na bahati yake, anaweza akaomba hata hana ndugu na Mungu akamsaidia akapata so kila mtu na bahati yake!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
jaman walitoa kwa level zote za elimu?
Tena mtu kama huyu mropokaji hovyo hana hata kazi ya maana, kwahiyo anatamani hata hii oportunity yakuapply angeipata lakini olaaa, tena huyu hata cheti cha form 4 hana, so msijali watu wangu msibabaishwe na wasiojitambua na hata future hawana!! Wishing you all the best of luck na Mungu akiwa upande wenu hakuna atakae kuwa juu yenu!!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums