Ugonjwa wa kipara unatokana na nini?

kagombe

JF-Expert Member
Mar 1, 2015
3,508
1,642
0f8531ddb6c2445cf163568b5c94f2cf.jpg


[h=3]Nahitaji kujua ugonjwa huu wa kipara unatokana na nini maana naogopa usije nipata hapo baada[/h]
 
Ni ishara ya kuwa una homoni za kiume za kutosha (testosterone)
 
Hakuna namna best. Saka mahela hadi ukifika mahali huhitaji kujitambulisha. Huoni EL anapata wadhamini ambao hata sio wanaccm?

Mdomo iliponza kichwa....ha ha ha. Unataka kusema hata Kapuya Kipara chake si hoja!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom