Ni mgawanyo wa majukumu tu. Unapunza sehemu ya kuchana nywele ila unaongeza sehemu za kunawa uso
Wewe tafuta pesa. Mengi ana kipara na ana totoz ya nguvu. Acha kuremba
Upara sio ugonjwa tambua hilo
Afanaaaleki!!
Hakuna namna best. Saka mahela hadi ukifika mahali huhitaji kujitambulisha. Huoni EL anapata wadhamini ambao hata sio wanaccm?
Hakuna namna best. Saka mahela hadi ukifika mahali huhitaji kujitambulisha. Huoni EL anapata wadhamini ambao hata sio wanaccm?
Hivi MTU kama Kingunge unaanzaje kumtazama akivua nguo?!! Kina Dada MNA ujasiri sana
Kama sio uginjwa nini basi?sio kukataa wakati huna jibu bora ukae kimya
Ukimeza panadol makes it easy. Wenzio wanamvua mama lwakatare, shauriyo.
Ni mgawanyo wa majukumu tu. Unapunza sehemu ya kuchana nywele ila unaongeza sehemu za kunawa uso
Asante sana kwa kuniongezea siku za kuishi.