Ndugu zangu
Mara nyingi hunitokea ghafla nagusa/napiga mkono vitu vikiwa mezani. Mfano naweza kuletewa chai lakini ghafla kunakuwa kama mtu kasukuma mkono wangu na kumwaga chai. Vivyo hivyo hutokea nikiwa na kinywaji mezani kama soda na kadhalika
Yaani inakuwa kama kuna mtu kagusa mkono wa kufanya vitu kuparanganyika
Msaada tafadhali
Mara nyingi hunitokea ghafla nagusa/napiga mkono vitu vikiwa mezani. Mfano naweza kuletewa chai lakini ghafla kunakuwa kama mtu kasukuma mkono wangu na kumwaga chai. Vivyo hivyo hutokea nikiwa na kinywaji mezani kama soda na kadhalika
Yaani inakuwa kama kuna mtu kagusa mkono wa kufanya vitu kuparanganyika
Msaada tafadhali