Ugomvi Arusha kati wamasai na waarusha

Hizi kabila mbili huwa zinanichanganya sana. Maana hata Mh. Lowasa wanasema ni Muarusha ila yeye anajiita Mmasai.
 
Samahani nina mashaka na usahihi wa habari hii!
  1. Ungesema Wamasai wamevamia eneo na Waarusha na kuwafurusha baru, hapo labda ndio ningekuelewa!.
  2. Tangu lini Waarusha wana jeuri ya kupigana?.
  3. Kwa nguvu zipi walizonazo Waarusha?. Kwa msiowajuu Waarusha, wana koo nne tuu, Laizer, Mollel, Kivuyo na Lukumay!.
  4. Kwa silaha gani wanazotumia kuwakabili Wamasai?.
  5. Kwa utamaduni gani wa mapambano, walionao hao Waarusha?.
  6. Tangu lini Waarusha wakapigana kugombania Aridhi huku kila siku wakiitoa Sadaka?.
  7. Kama ni Wamasai na ni kweli wameamua kufanya kweli, FFU gani watathubutu kutia pua?!.
  8. Kwa msiofahamu, miaka ya nyuma, Ijumaa moja, Viongozi 4 wa kabila la Wamasai waliwahi kuwaamrisha Morani wao, kuchoma ofisi ya CCM na nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji fulani aliyewaletea za kuleta!.
  9. Serikali iliwakamata hao viongozi Wanne wa Kimasai na kuwashikilia Polisi Central ya pale Arusha.
  10. Jumatatu asubuhi, jiji la Arusha lilifurika morani wa Kimasai waliokuwa wameshapandisha mori, midomo yao myekundu kwa kunywa damu mbichi!, waliizingira ofisi ya Mkuu wa mkoa na polisi, mwakilishi wao akaitwa ndani, akagoma, wakamuamuru mkuu wa mkoa atoke nje, by then alikuwa Ole Njoolay, wakazungumza nae Kimasai kuwa wale viongozi wao wanne wanaoshikiliwa polisi, waachiwe that very moment, bila mjadala wala majadiliano yoyote, vinginevyo maroni hao, wangeigeuza mji wa Arusha dimbwi la damu within no time!. Njoolay alitii amri there and then, wale wazee waliachiwa na kuletwa pale, ndipo msafara ulitawanyika na walipofika Masaini, ngombe wengi waliuawa kikatili ili kutimiza masharti ya kutuliza ile mori ya Kimasai!.

Pasco.

Pasco mungu akusamehe kwani hujui uandikacho
 
Samahani nina mashaka na usahihi wa habari hii!
  1. Ungesema Wamasai wamevamia eneo na Waarusha na kuwafurusha baru, hapo labda ndio ningekuelewa!.
  2. Tangu lini Waarusha wana jeuri ya kupigana?.
  3. Kwa nguvu zipi walizonazo Waarusha?. Kwa msiowajuu Waarusha, wana koo nne tuu, Laizer, Mollel, Kivuyo na Lukumay!.
  4. Kwa silaha gani wanazotumia kuwakabili Wamasai?.
  5. Kwa utamaduni gani wa mapambano, walionao hao Waarusha?.
  6. Tangu lini Waarusha wakapigana kugombania Aridhi huku kila siku wakiitoa Sadaka?.
  7. Kama ni Wamasai na ni kweli wameamua kufanya kweli, FFU gani watathubutu kutia pua?!.
  8. Kwa msiofahamu, miaka ya nyuma, Ijumaa moja, Viongozi 4 wa kabila la Wamasai waliwahi kuwaamrisha Morani wao, kuchoma ofisi ya CCM na nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji fulani aliyewaletea za kuleta!.
  9. Serikali iliwakamata hao viongozi Wanne wa Kimasai na kuwashikilia Polisi Central ya pale Arusha.
  10. Jumatatu asubuhi, jiji la Arusha lilifurika morani wa Kimasai waliokuwa wameshapandisha mori, midomo yao myekundu kwa kunywa damu mbichi!, waliizingira ofisi ya Mkuu wa mkoa na polisi, mwakilishi wao akaitwa ndani, akagoma, wakamuamuru mkuu wa mkoa atoke nje, by then alikuwa Ole Njoolay, wakazungumza nae Kimasai kuwa wale viongozi wao wanne wanaoshikiliwa polisi, waachiwe that very moment, bila mjadala wala majadiliano yoyote, vinginevyo maroni hao, wangeigeuza mji wa Arusha dimbwi la damu within no time!. Njoolay alitii amri there and then, wale wazee waliachiwa na kuletwa pale, ndipo msafara ulitawanyika na walipofika Masaini, ngombe wengi waliuawa kikatili ili kutimiza masharti ya kutuliza ile mori ya Kimasai!.

Pasco.
Mkuu Pasco , hadith yako inatufundisha nini?
 
Last edited by a moderator:
Habari zinazinifikia sasahivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana. Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia,mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Mkuu, KASPERSKY ANT- CCM, unapoleta habari kwa kutumia "present tense" "sasa", unategemewa una leta au continuation ya kinachoendelea, au update ya kilichoendelea!. Nilitegema ile ile jana, baada ya wengine wetu humu kuonyesha mashaka na ukweli wa habari hii, nilitegemea wewe unge update kuthibitisha tukio hili, ndio kwanza umeingia mitini!. Hivi kweli bandiko la vita ya Mmasai kwenye jiji la utalii, ni ya kusubiria two days na hizi page mbili tuu?!.

Pasco
 
Mkuu Pasco , hadith yako inatufundisha nini?
Mkuu Mkusa, hapa tunafundishwa Tanzania ni taifa la double standards!.

Kuna makabila yanaheshimiwa na kuogopwa mpaka eti wa makabila fulani fulani, hawaruhusiwi kuuwazia urais!.
Kuna taasisi fulani zinaheshimiwa hadi kuogopwa, kuna watu wa taasisi fulani wakiandamana na kukusanyika bila kibali, ni mabomu ya machozi na risasi za moto!. Kuna watu wa taasisi nyingine, wao ni kusindikizwa na kupewa ulinzi!.

Yaani kuna watu fulani wako juu ya sheria na wengine chini ya sheria!.

Hii ndio Tanzania Yetu!.
P.
 
Habari zinazinifikia sasahivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana kugombea eneo huko oldonyasambo, amapo ndani ya eneo hilo kuna shule wanafunzi wameshindwa kutoka kutokana na mapigano hayo.

Habari zinaendelea kusema kuwa shule hiyo ndiyo chanzo cha ugomvi huo baada ya kila upande kusema ndiyo wamiliki.

Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia,mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Habari zinazinifikia sasahivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana. Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia,mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Mkuu, PISTO LERO or former
KASPERSKY ANT- CCM, unapoleta habari kwa kutumia "present tense" "sasa", unategemewa una leta au continuation ya kinachoendelea, au update ya kilichoendelea!. Nilitegema ile ile siku au kesho yake baada ya wengine wetu humu kuonyesha mashaka na ukweli wa habari hii, nilitegemea wewe unge update kuthibitisha tukio hili, ndio kwanza umeingia mitini jumla!. Hivi kweli bandiko la vita ya Mmasai kwenye jiji la utalii, ni jambo la kusubiria two days bila any updates na mpaka leo ni hizi page mbili tuu?!. Sorry to say, huu ulikuwa uongo!.

Kama sio uongo, hii issue iliishaje?.
P
 
Habari zinazinifikia sasahivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana kugombea eneo huko oldonyasambo, amapo ndani ya eneo hilo kuna shule wanafunzi wameshindwa kutoka kutokana na mapigano hayo.

Habari zinaendelea kusema kuwa shule hiyo ndiyo chanzo cha ugomvi huo baada ya kila upande kusema ndiyo wamiliki.

Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia,mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Habari zinazinifikia sasahivi zinasema kuwa wamasai na waarusha wanapigana. Polisi na FFU wameshindwa kuwaamulia,mapigano bado yanaendelea mpaka sasa.
Mkuu, PISTO LERO, aka KASPERSKY ANT- CCM, Ugomvvi Arusha kati wamasai na waarusha.
Hivi hii issue iliishaje?, Jee ilikuwa ni habari ya kweli au ulikuwa ni uongo na uzushi?. Mbona hukurudi kwa update yoyote?
P
 
WaArusha wanatabia za Kiswahili, mademu Wana tabia za kimalaya....na jamii zao washirikina. Una kuta Mabaamedi WaArusha



WaMasai ni kabila lenye maadili
 
Samahani nina mashaka na usahihi wa habari hii!
  1. Ungesema Wamasai wamevamia eneo na Waarusha na kuwafurusha baru, hapo labda ndio ningekuelewa!.
  2. Kuna makabila ya wapiganaji na makabila ya watulivu. Tangu lini Waarusha wana jeuri ya kupigana?.
  3. Kwa nguvu zipi walizonazo Waarusha hadi wapigane na Wamasai?. Kwa msiowajua Waarusha, wana koo nne tuu zilizojimega kutoka kwa Wamasai. Koo hizo ni Laizer, Mollel, Kivuyo na Lukumay!.
  4. Wamasaia wanatembea na silaha 24/7, Waarusha hawatembei na silaha yoyote, kama ni kweli kuna makabiliano ya Waarusha na Wamasai, then ni kwa silaha gani wanazotumia hao Waarusha kuwakabili Wamasai?.
  5. Kuna makabila wana utamaduni wa mapambano, Wamasai wana utamaduni huo, Waarusha wapambane na Wamasai kwa utamaduni gani wa mapambano, walionao hao Waarusha?.
  6. Tangu lini Waarusha wakapigana kugombania Ardhi huku kila siku ardhi yao inamegwa na nyingine wakiitoa Sadaka?.
  7. Kama ni Wamasai na ni kweli wameamua kufanya kweli, FFU gani watathubutu kutia pua?!.
  8. Kwa msiofahamu, miaka ya nyuma, Ijumaa moja, Viongozi 4 wa kabila la Wamasai waliwahi kuwaamrisha Morani wao, kuchoma ofisi ya CCM na nyumba ya Mwenyekiti wa kijiji fulani aliyewaletea za kuleta!.
  9. Serikali iliwakamata hao viongozi Wanne wa Kimasai na kuwashikilia Polisi Central ya pale Arusha.
  10. Jumatatu asubuhi, jiji la Arusha lilifurika morani wa Kimasai waliokuwa wameshapandisha mori, midomo yao myekundu kwa kunywa damu mbichi!, waliizingira ofisi ya Mkuu wa mkoa na kusambaa mpaka polisi, mwakilishi wao akaitwa ndani, akagoma, wakamuamuru Mkuu wa Mkoa wa Arusha ndio atoke nje, by then alikuwa ni Daniel Ole Njoolay, wakazungumza nae Kimasai kuwa wale viongozi wao wanne wanaoshikiliwa polisi, waachiwe that very moment, bila mjadala wala majadiliano yoyote, vinginevyo morani hao, wangeigeuza mji wa Arusha dimbwi la damu within no time!. Wakati wote huo, hao morani wanaruka ruka na sime zao wamechomoa alani!.
  11. Ole Njoolay kuona hivyo, ili kuepusha balaa, alitii amri there and then, wale wazee waliachiwa na kuletwa pale, ndipo msafara ulitawanyika huku wakiimba na walipofika Masaini, ngombe wengi waliuawa kikatili ili kutimiza masharti ya kutuliza ile mori ya Kimasai!.

Pasco.
Hawa ndio Wamasai nimaowajua Mimi.
P
 
wamasai na waarusha ni makabila mawili tofauti ila wanasikilizana,soma historia zao utawaelewa.
Wamasai wa mjini wanajiita waarusha asee watu majina na koo zilezile lugha ile ile alafu wawe kabila tofauti?
 
Back
Top Bottom