Tausi Mzalendo
JF-Expert Member
- May 23, 2010
- 1,471
- 722
"Ukimpenda mume ukamfanya afurahi basi mwisho wa siku familia yote itakuwa na furaha".Kasema bwana mmoja wakati alipoulizwa kwanini ndoa nyingi zinagubikwa na misukosuko!
"Mke anatakiwa kuweka "ndoa' iwe kipaumbele cha kwanza kuliko kila kitu na hata watoto".
Je inaleta maana?
"Mke anatakiwa kuweka "ndoa' iwe kipaumbele cha kwanza kuliko kila kitu na hata watoto".
Je inaleta maana?