Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,331
- 14,259
watu chuo kikuu wanalia na ajira kumbe ni kukosa mtazamo na uthubutu. wengi wakihitimu ni waoga mno. pia huwa hawana despline ya fedha kipindi wawapo chuoni. hakuna ajira nzuri kama kujiajiri.
Kweli mkuu!!!,wewe umekuwa model ya vijana.