Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

E bana naweza kukutembelea amoeba huko uliko nijionee ndugu yangu ufugaji ulivyo wa nguruwe? please.


1.Nguruwe anachukua miezi 6 mpaka 12 mpaka kufikia uzito wa kutosha (inategemeanan na malisho)
2.Inategemeana na nafasi yako, ukiwa upo pale full time, wapagazi watatu ni more than enough (kumbuka usipokuwapo watu wanakuwa na uzembe flan). mimi nnao sita chini ya usimamizi mkali.
3.inategemea uko wapi. huku kwetu hata kama haulimi gunia la pumba za mahindi ni Tsh 10,000/=! mashudu ya alizeti gunia ni 20,000/=!
4. Ekari moja wanakaa kwa amani yote. ni vizuri kuwa mbali na makazi ya watu.
5. inategemea uko wapi. kwangu mm nauwezo wa kuuza nguruwe 200 kwa mwezi bila shida. watoto inasumbua kidogo kwa sababu wananunua wafugaji, ukitaka kuwauza kwa urahisi wakuze mpaka miezi mitatu hv.
6. Minyoo na ukurutu. Kikubwa ni chanjo na usafi wa hali ya juu KILA SIKU (nguruwe ni msafi sana akitunzwa, wa kwangu nikimkuta sebuleni nacheka tu-ni WASAFI kama pet)

Nguruwe wanahitaji usimamizi wa karibu sana, uwajue kwa namba ili uweze kufuatilia maendeleo yao kila asubuhi. Ukiona mnyama mmoja amezubaa mwite doctor haraka sana. usiachie wasaidizi kila kitu, kuwa makini na kuhakikisha wanapata milo miwili ya kutosha bila kusahau vegs. nguruwe wanapenda maji-usiwanyime starehe ya kwa kuwabananisha hawatanenepa vya kutosha. Nguruwe ana uwezo wa kuzaa mara mbili kwa mwaka. Mimi sijasoma kilimo na mifugo, ni ubishi tu na kuthubutu vilivyoletwa na maisha magumu. MUHIMU UKUBALI KUKAA SHAMBA, JF UIPATE KWA TTCL NA SOLLAR!
 
E bana naweza kukutembelea amoeba huko uliko nijionee ndugu yangu ufugaji ulivyo wa nguruwe? please.

This was my next question Kiloba (hope sio original). Mjomba Amoeba tunaomba urudi na utujibu hili please tuko more than serious. Nahisi kama naidhulumu nafsi yangu kuendelea kukaa kwenye hili dawati na hii keyboard 10-12 hrs a day for same pay at the end of the month.
 
This was my next question Kiloba (hope sio original). Mjomba Amoeba tunaomba urudi na utujibu hili please tuko more than serious. Nahisi kama naidhulumu nafsi yangu kuendelea kukaa kwenye hili dawati na hii keyboard 10-12 hrs a day for same pay at the end of the month.

Mnisamehe wakuu kwa kutotembelea uzi huu kwa siku kadhaa.
Kutembelea inaruhusiwa na kubadlishana ujuzi wakuu, sasa hv naelekea Iringa kutafuta shamba la project nyingine, baada ya week hope nitarejea then ntakujuzeni wakuu. Tupeane ratiba zenu tu!
 
Mnisamehe wakuu kwa kutotembelea uzi huu kwa siku kadhaa.
Kutembelea inaruhusiwa na kubadlishana ujuzi wakuu, sasa hv naelekea Iringa kutafuta shamba la project nyingine, baada ya week hope nitarejea then ntakujuzeni wakuu. Tupeane ratiba zenu tu!

This is cool Ameoba ahsante kwa kurespond kwenye hili na PM pia. Well, tunakutakia safari njema ya Iringa (kwa kiasi fulani nimetokea huko pia so nimeguswa). Tutafurahi sana kupata feedback baada ya hiyo wiki moja. Personally ninakuwa na muda week-end japo hata week days ninaweza kuutafuta kwa ajili ya kutembela hiyo project yako. Of course iko wapi project nayo itakuwa ni determining factor pia. So limalize hilo la Iringa ili tuweze kujipanga vizuri. Once again, tunakutakia safari njema na kila la heri kwa linalokupeleka huko.
 
We ni Wakala wa sera ya JK ya Kilimo kwanza eeh?

Mbona hujaweka effect ya SWINE- FLU, ambayo inaweza kuwamaliza nguruwe wote kwa wiki 1?
Kwa nini usifikirie wewe mwenyewe kumalizwa kwanza? unaacha kufanya vitu eti kwa sababu ya kumalizwa!! negative thoughts.
 
Wana Jf. Naomba msaada nina eneo langu km heka moja msata nataka nianzishe ufugaji wa nguruwe.nifanyeje ili niweza pata faida 3mil baada ya mieizi 3.kujua soko?naamba mchanganua wa kitaalam?
 
Miezi 3 ni kidogo mno?.inachukua miezi 6-8 kumlea nguruwe hadi awe tayari kuuzwa kwa nyama au kuweza kupata mimba.Hata kama unataka kuuza watoto unahitaji week 5 hadi 8.mie nimekuwa na study hii biashara for sometimes now na nimeanza kufuga 4 months ago.the best way ni kuanza na nguruwe kama 10 hivi wenye mimba ambao watazaa within a month..pia ni vema kufuga shamba ambako pia unalima mahindi au mtama alizeti au ufuta.gharama kubwa ya kufuga ni chakula.At the moment mchanganyiko wa chakula cha nguruwe una cost about 1200/kg lakini ukilima mwenyewe inakuwa about 450/kg:.nguruwe mmoja anakula 2-3 kg kwa siku.
Soko kubwa lipo Dar es salaam.hauhitaji kupeleka huko,wanunuzi wanakuja shamba.waweza kuuza baada ya kuchinja(inalipa zaidi) au live weight ambayo pia nzuri na convinient
 
Back
Top Bottom