makorere
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 1,713
- 1,170
Umeshapata kama bado nikuunganishe na jirani yangu yeye anafuata Nairobi 0715249110Naomba mwenye mbegu ya kisasa ya sungura tuwasiliane 0715287233
Umeshapata kama bado nikuunganishe na jirani yangu yeye anafuata Nairobi 0715249110Naomba mwenye mbegu ya kisasa ya sungura tuwasiliane 0715287233
eee weee jamaa wewe umenichekesha sana na hyo equation yako. mi ninae sungura mmoja mkorofi balaaMnao nunua sungura msisahau na kununua mifuko ya cement kwa ajili ya kuzibia mashimo.
shimo 1 = mfuko 1 = sungura 1
hebu weka link vzur maana ubajibu hviView attachment 424905kwa wale mnataka kufuga sungura - ungana nasi kwa group la ufugaji sungura tanzania kupitia link hii
Ungana Nasi ktk Group la Ufugaji Sungura: WhatsApp Group Invite
hebu weka link vzur maana ubajibu hviView attachment 424905
Pole kwa masahibu na changamoto za biashara nakushauri usiache hiyo biashara kwa sababu ya changamoto bali endelea kukomaa kwani changamoto zipo kila mahali penye mafanikio.Macky msaada Mimi ninasungura zaidi ya 70 na nilinunua mbege Nairobi jike elfu 95 pamoja n kumsafilisha ikafika laki na kumi dume elfu 45.tatzo nipale unalixha sungura miez hata 6 hafiki kilo tano alafu chakul Chao bei ghali kilo 50 ni elfu sitin NA wanakul kwa cku tatu au NNE.wakifikia kuuzwa wale waliokuuzia mbegu wanakuj kuwanunua kilo moja n elfu 85 NA umelisha zaidi y miez mitano.Ukiuza hela yot inaenda kweny chakula.Changamoto nyingin ni kuwakata meno yakikua nayo n changamoto.Kama amezaa akasusa kunyonyesha nayo ni mtihani kwani utatakiwa kuwanywesha watoto na silinji bila sindano ukiwapa vibay vinakufa vyote.YANI SIONI FAIDA YA KUFUGA SUNGURA KIUPANDE WANGU
Ndugu yangu niuzie Mimi hao Sungura wanakutesa tuu!Pole kwa masahibu na changamoto za biashara nakushauri usiache hiyo biashara kwa sababu ya changamoto bali endelea kukomaa kwani changamoto zipo kila mahali penye mafanikio.
hii nayo itapita wataanza kufuga popo... (ni utani tu wakuu msijenge chuki)Hivi zile habari za KWARE zimeisha mmehamia kwny SUNGURA??
Umekamata fulsaNdugu yangu niuzie Mimi hao Sungura wanakutesa tuu!
Ndiyo kwangu hawanitesi nawatafuta!Umekamata fulsa
Nina elimu ya kutosha juu ya huyu mnyama na pia nafuga chini ya kampuni bora inayorahisisha mambo!Unatumia mbinu gani
Mko wapi nitawapaje?Jiunge na shirika letu la I charity Global vision tutakusaidia ufugaji bora wa Sungura
Mbona Mimi niko mkoanNina elimu ya kutosha juu ya huyu mnyama na pia nafuga chini ya kampuni bora inayorahisisha mambo!
Hata mikoani tunafika upo wapi?Mbona Mimi niko mkoan