Jackbauer
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 6,038
- 2,199
Kuna taarifa zisizo rasmi kuwa halmashauri mojawapo kati ya halmashauri mbili za(MERU DC) wilaya ya arumeru mkoani arusha inatarajia kuuza viwanja maeneo ya tengeru.bei ya kiwanja inatarajiwa kuwa 24000 per squear meter.wakuu hii ni bei ghali hasa ukiangalia vipato vya watanzania wa kawaida.inasemekana tayari kuna watu(vigogo) kati ya 100-150 wameshapata plot hizi kimya kimya kama ilivyotokea kwa halmashauri pacha ya wilaya hii(arusha DC).
Kama ni kweli huu ni ufisadi mpya kwa wakubwa kujisevia viwanja nchini.tukumbuke viwanja vilivyogaiwa hivi karibuni maeneo ya burka(arusha DC) viliangukia kwa vigogo Kama vile Kimey,riziwani,ruth mollel,mbunge wa arumeru magharibi n.k
nawasilisha kwa machungu!!
Kama ni kweli huu ni ufisadi mpya kwa wakubwa kujisevia viwanja nchini.tukumbuke viwanja vilivyogaiwa hivi karibuni maeneo ya burka(arusha DC) viliangukia kwa vigogo Kama vile Kimey,riziwani,ruth mollel,mbunge wa arumeru magharibi n.k
nawasilisha kwa machungu!!