Ni Mimi Msiogope
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 352
- 200
Watanzania wengi waliosoma vyuo vikuu vya Serikali huku wakifadhiliwa na Serikali kwa Asilimia tofauti 'Boom', Wamekuwa wakikatwa kwenye Mishahara yao kila mwezi pia kwa viwango tofauti. Taarifa za awali zinasema kuwa hazijulikani zipo kwenye Account gani hadi sasa na chanzo cha taarifa hii kimesema kuwa kuna Account zaidi ya 102 ambazo zimekuwa zikiingiziwa fedha kutoka 'Fungu' hilo. Hata hivyo nimejaribu kucheki kwenye vitabu vya Bajeti miaka yote sijaona kasma hii. Nimeamua kulipeleka bungeni.
Kama huna taarifa sahihi Stay tuned Bungeni ikipatikana nafasi Swali litaulizwa kwa Waziri husika.
Kama huna taarifa sahihi Stay tuned Bungeni ikipatikana nafasi Swali litaulizwa kwa Waziri husika.