n00b
JF-Expert Member
- Apr 10, 2008
- 1,006
- 2,667
Wakuu,
Mnaweza kuwa hamwelewi CCM ina-operate vipi au wengine mnafahamu zaidi yangu lakini sasa naona mwenzenu yamenikera mpaka nimeamua niyaseme.
Ndiyo, inasikitisha kuona Usalama wa Taifa (wanahusika katika hili) wako kimya wakati siasa zikitumika na kulitumbukiza taifa katika risk kubwa kiwango ambacho nitakielezea chini hapa.
Kwa mlio jijini Dar es Salaam nadhani mshayaona matangazo ya CCM ambayo aidha yamewekwa katika nguzo zote za barabarani au kwenye mabango makubwa (yote ni ya ZADOK - A1 Autdoor).
Ukweli ni kuwa haya matangazo CCM wamelipia printing tu, kama kawaida Zadok amejipendekeza kwa CCM ili aendelee kufanya upuuzi wake kushikilia soko la matangazo hasa ya barabarani. Amekuwa akifanya hivi kipindi kirefu na hata ukiangalia design ya matangazo yenyewe iko very poor na kibaya zaidi wametumia picha za JK akiwa kama rais kwenye matangazo na sio akiwa kama mwana CCM, huwezi kumchukua JK akikagua Jeshi la Tanzania kwenye shughuli ya kitaifa kisha ukatengeneza bango ati CCM inaimarisha amani. Ni upuuzi at its best.
Sasa, kwa ofa hii kwa CCM, wamejisahau kabisa kumfuatilia huyu jamaa ambaye amekuwa beneti nao na kusababisha barabara toka Uwanja wa ndege ikiwa giza, wamefumbwa macho. Fikiria barabara ambayo inawaleta watalii kibao kulitembelea taifa kuanzia Jet mpaka TAZARA ni giza tupu zaidi ya miezi mitatu sasa. Usalama wa Taifa wanalichukulia suala hili kuwa dogo?
Nguzo zenyewe za taa ni low quality, zinaanguka ovyo, hakuna wa kumsema. Taa nazo zikiwaka huwa zina mwanga mdogo sana kitu ambacho husababisha ajali zisizokuwa za lazima.
Jamaa hawa wamekuwa na kiburi sana kiasi wanaweka mabango yanayo-distruct mtu unapokuwa una-drive na mabango ambayo wanajua yangetakiwa kuondolewa ndiyo wanaweka picha za CHAGUA JK, CHAGUA CCM. Hapo watawala wanakuwa wamezibwa kabisa masikio na macho. Wanapita wakikenua na kufurahia tu.
Natambua kuwa Halmashauri zetu hazina uwezo wa kuendesha kila kitu na ndo maana imekuja PPPA, lakini ni lazima iwepo Public Consultation kabla ya kupata partners bomu kama hawa. Ni watu wasiolitakia taifa mema kabisa na wapo kifisadi zaidi.
Mwanzoni nilikuwa na imani sana na Zadok (wa A1 Outdoor) lakini kwa low quality hii na kwa kujipendekeza kwake kwa chama tawala naanza kukosa imani naye pamoja na Mall yake iliyokwama; najua anatafuta namna ya kujikwamua baada ya mkataba wake na Zaina kubuma.
Kama Masasi Signs wamewekewa mpinzani katika kazi (si upinzani wa ubaya bali kibiashara), kwanini A1 Outdoor wasiwe na mpinzani? Huwezi kulinganisha mitaa ya ovyo waliyoiweka hawa jamaa na zile za Sam Nujoma hata kidogo.
Wakuu, nakereka sana kwa siasa kusababisha mambo mengi kukwama, nalazimika kuandika JF nikiamini huenda nikasikika na watawala kuchukua hatua.
Shukrani
Mnaweza kuwa hamwelewi CCM ina-operate vipi au wengine mnafahamu zaidi yangu lakini sasa naona mwenzenu yamenikera mpaka nimeamua niyaseme.
Ndiyo, inasikitisha kuona Usalama wa Taifa (wanahusika katika hili) wako kimya wakati siasa zikitumika na kulitumbukiza taifa katika risk kubwa kiwango ambacho nitakielezea chini hapa.
Kwa mlio jijini Dar es Salaam nadhani mshayaona matangazo ya CCM ambayo aidha yamewekwa katika nguzo zote za barabarani au kwenye mabango makubwa (yote ni ya ZADOK - A1 Autdoor).
Ukweli ni kuwa haya matangazo CCM wamelipia printing tu, kama kawaida Zadok amejipendekeza kwa CCM ili aendelee kufanya upuuzi wake kushikilia soko la matangazo hasa ya barabarani. Amekuwa akifanya hivi kipindi kirefu na hata ukiangalia design ya matangazo yenyewe iko very poor na kibaya zaidi wametumia picha za JK akiwa kama rais kwenye matangazo na sio akiwa kama mwana CCM, huwezi kumchukua JK akikagua Jeshi la Tanzania kwenye shughuli ya kitaifa kisha ukatengeneza bango ati CCM inaimarisha amani. Ni upuuzi at its best.
Sasa, kwa ofa hii kwa CCM, wamejisahau kabisa kumfuatilia huyu jamaa ambaye amekuwa beneti nao na kusababisha barabara toka Uwanja wa ndege ikiwa giza, wamefumbwa macho. Fikiria barabara ambayo inawaleta watalii kibao kulitembelea taifa kuanzia Jet mpaka TAZARA ni giza tupu zaidi ya miezi mitatu sasa. Usalama wa Taifa wanalichukulia suala hili kuwa dogo?
Nguzo zenyewe za taa ni low quality, zinaanguka ovyo, hakuna wa kumsema. Taa nazo zikiwaka huwa zina mwanga mdogo sana kitu ambacho husababisha ajali zisizokuwa za lazima.
Jamaa hawa wamekuwa na kiburi sana kiasi wanaweka mabango yanayo-distruct mtu unapokuwa una-drive na mabango ambayo wanajua yangetakiwa kuondolewa ndiyo wanaweka picha za CHAGUA JK, CHAGUA CCM. Hapo watawala wanakuwa wamezibwa kabisa masikio na macho. Wanapita wakikenua na kufurahia tu.
Natambua kuwa Halmashauri zetu hazina uwezo wa kuendesha kila kitu na ndo maana imekuja PPPA, lakini ni lazima iwepo Public Consultation kabla ya kupata partners bomu kama hawa. Ni watu wasiolitakia taifa mema kabisa na wapo kifisadi zaidi.
Mwanzoni nilikuwa na imani sana na Zadok (wa A1 Outdoor) lakini kwa low quality hii na kwa kujipendekeza kwake kwa chama tawala naanza kukosa imani naye pamoja na Mall yake iliyokwama; najua anatafuta namna ya kujikwamua baada ya mkataba wake na Zaina kubuma.
Kama Masasi Signs wamewekewa mpinzani katika kazi (si upinzani wa ubaya bali kibiashara), kwanini A1 Outdoor wasiwe na mpinzani? Huwezi kulinganisha mitaa ya ovyo waliyoiweka hawa jamaa na zile za Sam Nujoma hata kidogo.
Wakuu, nakereka sana kwa siasa kusababisha mambo mengi kukwama, nalazimika kuandika JF nikiamini huenda nikasikika na watawala kuchukua hatua.
Shukrani