TOT inamilikiwa na CCM?
Sera ya chana cha mafisadi mimi sishangai kitu hapo!! wako kwenye kutekeleza sera zao
Hii haini shangazi sana. Si gamba original
wakati watu wanatoka kwenye giza wewe unalifuata giza 2012---->>2015 unachoandika .....!!!!
Aisee kumbe jamaa alikuwa mtu safi nani kamuroga na kumfanya mpumbavu kiasi hiki.