Ufisadi wa Blandina Nyoni huu hapa!

Quote (Mwishoni mwa mwaka wa fedha 2009/2010 alihamisha kiasi cha Shilingi 1,968,475,931 mali ya Wizara ya Afya kwenda National Institute for Medical Research (NIMR) bila kibali cha hazina kwa matumizi yasiyojulikana. Fedha hizi zilikuja kuhojiwa na CAG katika ripoti yake ya serikali kuu ya mwaka 2009/2010) Quote

If this is true then: Dr Mwele Malecela anauhusiano upi na huyu mama? Kama sijakosea yeye ndio bosi wa NIRM; je haka kamchezo anakajua? Ukiangalia vizuri kuna chain ya watu fulani fulani inabidi wawajibike na huyu mama Nyoni if the accusations are true.

Dr Malecela anapeleka request ya fedha kwa Katibu Mkuu wa Wizara. Wapi PS anatoa hizo fedha huo sio wajibu wake alimradi zimetoka na kupita kweny account halali za Serikali.

Ulisikia wapi mfanyakazi anamuuliza bosi wake fedha hii umetoa wapi? Huo ni wajibu wa wahasibu siyo yeye.
 
Mkuu nomesoma post nikagundua Mzee Funga ni shujaa. Katika mambo ya manunuzi, mkuu wa kitengo cha manaunuzi anatakiwa akomae kama Mzee Funga. Nafahamu kwa hakika katika huko kulazimisha huwa Nyoni haandiki popote na hivyo anaweza kumruka afisa manunuzi wakati wowote na jumba bovu likamuangukia.

Eeeee bwana huyo Mzee Funga na wenzake wa ugavi wamezidiwa ujanja wa kula na bosi wao. Bosi anakula kushoto na kulia na wao wamebaki wanaangalia tu hakuna cha juu.

Procurment Officers, ha!
 
Eeeee bwana huyo Mzee Funga na wenzake wa ugavi wamezidiwa ujanja wa kula na bosi wao. Bosi anakula kushoto na kulia na wao wamebaki wanaangalia tu hakuna cha juu.

Procurment Officers, ha!
Huyu mama kiboko! Nafikiria implication ya kupigwa uhamisho kutoka mkuu wa kitengo cha manunuzi Wizara ya afya hadi Mirembe kama afisa manunuzi! Kupelekwa Mirembe tu implication ya kwanza wewe ni kichaa! Kuna uonevu wa kupitiliza kwakweli! Mzee wa watu yupo huko ana control manunuzi ya vichaa!! What insult! Kama binadamu inauma sana aisee!
 
sina tatizo mtu kupelekwa mirembe kufanya kazi lakini kwa mazingira aliyopelekwa Mzee Funga ni udhalilishaji kabisa!
 
Invisible
Tunakushukuru sana kwa kuattach ushahidi wa hizo kumbukumbu namba za mikataba. Kuna watu walidhani kuwa napiga majungu na kwamba nina chuki binafsi. Nadhani sasa wanaelewa harakati zetu. Sipo hapa kwa ajili ya kumuonea Blandina Nyoni. Habari hizi ni za kweli na tunazitoa kwenye Ubongo wa Wizara.
 
Huyu mama ni jambazi kabisa.
Ana style ya kutawala kwa kutengeneza fear kwa wasaidizi wake. Ukilegea tu, unakua mtumwa wake. Sasa mzee funga hakuwa anataka huo ******.
Afu kanapenda ngono sana, alipoingia afya toka maliasili alimzimia mkurugenzi flan hivi hapo afya, initial zake ni D. M., mama akaangaika weee, jamaa akawa anamchomolea, lilikua bif kubwa, mwakyusa ndo alilisovu.
Ila vijana wengi sana wanapiga, mama anajifanya 'maini hayazeeki'.
 
Afu anatabia za ajabu sana. Hata rafiki yake, Anna Muhere, Chief Internal Auditor, ingawa ni mtu mzima, lakini anapenda kuvaa kikuu na sketi fupi.
 
Afu kwa kuwasaidia nyie TISS na TAKUKURU, nendeni mkachunguze yafuatayo:
1-MSD & TFDA, ni kwa nini wizara inabadili mara kwa mara policy on medicines usage? Deo Mtasiwa na Nyoni wamepiga ela ndefu sana kwenye ilo eneo.
2-NHIF, ni kwa nini nyoni alikua analitumia shirika hilo kulipia bili mbalimbali za wizara.
3-Upendeleo alioufanya nyoni kwenye uteuzi wa Assistant Directors katika ofisi ya DAP, mkachunguze ni kwa nini hao Asst Directors waliochaguliwa (ziana na michael), walikua juniors compared to other staff e.g. Faith or Mkapa? Nendeni mtapata madudu mengi tu!
 
Afu kwa kuwasaidia nyie TISS na TAKUKURU, nendeni mkachunguze yafuatayo:
1-MSD & TFDA, ni kwa nini wizara inabadili mara kwa mara policy on medicines usage? Deo Mtasiwa na Nyoni wamepiga ela ndefu sana kwenye ilo eneo.
2-NHIF, ni kwa nini nyoni alikua analitumia shirika hilo kulipia bili mbalimbali za wizara.
3-Upendeleo alioufanya nyoni kwenye uteuzi wa Assistant Directors katika ofisi ya DAP, mkachunguze ni kwa nini hao Asst Directors waliochaguliwa (ziana na michael), walikua juniors compared to other staff e.g. Faith or Mkapa? Nendeni mtapata madudu mengi tu!
Hehehe! Nchi haina mwenyewe hii!
 
halafu tunajiuliza kwann tz ni masikini?
Niwakati wa kuisafisha nchi yetu,hayo yaliandikwa hapo juu ni kiwango cha kupitiliza kwakweli.tunahitaji muafaka wa kitaifa sasa ili tuanze upya! Inatetemesha sana!
 
Duh ama kweli nimeishia kuikumbuka hii kauli "KUICHAGUA CCM NI MAAFA" Dr.SLAA 2010

hapa hata ripoti ya uchunguzi ikitoka lazima ichakachuliwe
 
Siyo kwamba watu ni wapole . Wanaogopa sumu akam ile aliyopewa mwakyembe. Jamani mafisadi ni wengi kuliko waadlifu kwa hiyo wanaotaiwa jela ni waadilifu.
Haka kamama akilikuwa kanategemea sana waliokapa kazi. Jamani jk acha ushikaji kazini. Si uende tuition kwa kagame hata wiki moja uone hata mageneral wa jeshi anavyowapa kitu. Zero tolerance to corruption kaone inavyofanya kazi rwanda. Jamani sasa ya ukombozi ni sasa
 
It is too late to discuss!Tumekuwa buyers of events kwani kwanini mleta thread ukuyaleta haya mapema ata kabla ya mgomo wa madaktari?
Nikisema unausika katika kuficha maovu yanayolitafuna taifa nitakua sijakosea kabisa na huu ni ujinga,unafiki na usaliti. Ustahili kuwepo katika kundi la wapenda mageuzi na mabadiriko kwenye taifa hili.
 
Kinachonishangaza haya yote anayofanya huyu mama serikali haijui?? nini kazi ya usalama wa taifa sasa kama sio kufuaatilia watu kama hawa na kuripoti panopohusika?? Takukuru nayo ipo wapi??
 
Wana jamii,naomba mnisaidie.Hivi ukishakusanya hela nyingi sana baadaye inakuwaje?
Kwa hakika huwezi kutembelea gari mbili kwa wakati mmoja,kulala nyumba mbil kwa wakati mmoja,wala kula sahani mbili kwa wakati mmoja.
Kama haya madudu ya mwanamama Blandina ni ya kweli,basi tuombe mwongozo wa Mungu,inakuwakuwaje?

TAFAKARI
 
kuna wakati kwa akili ya kawaida unaweza kushindwa kujua hatma ya nchi yetu.tunaelekea kuzoea uchafu huu! Tutajikomboaje?
 
It is too late to discuss! Tumekuwa buyers of events kwani kwanini mleta thread ukuyaleta haya mapema ata kabla ya mgomo wa madaktari? Nikisema unausika katika kuficha maovu yanayolitafuna taifa nitakua sijakosea kabisa na huu ni ujinga, unafiki na usaliti. Ustahili kuwepo katika kundi la wapenda mageuzi na mabadiriko kwenye taifa hili.

Mkuu unapaswa kujua kwamba hapa JF unatakiwa ulete habari ukiwa umejiandaa vizuri na ushahidi. Tena ushahidi ambao si wa kubabaisha. Sasa kama tungesema toka awali kwamba Blandina Nyoni ni Fisadi bila hata kutoa ushahidi ni nani angetuelewa? Orodha ya matukio hapo juu ni matokeo ya kazi ya uchunguzi wa muda mrefu. Huwezi ukapata huo ushahidi kwa siku moja alafu ukauleta hapa JF. Kama huamini emu jaribu hata wewe mwenyewe kufuatilia Ufisadi wa mtu yeyote Serikali uone kama utaupata kwa siku moja alafu uubandike hapa. Ni bahati mbaya sana kwamba ushahidi hii ulipatikana complete wakati mgomo wa madaktari nao ukiwa in Progress. Sasa hapa huwezi ukasema kwamba ninaongozwa na matukio bali may be mwenzetu ndiye uliechotwa na hayo matukio. Tafakari!

Na kwa taarifa yako, Madaktari walishamwandikia Rais barua juu ya utawala mbovu wa Blandina Nyoni tangu mwaka 2010 na walitaka aondolewe. Kibaya zaidi Rais Kikwete badala ya kufanyia kazi ile barua alimuita Nyoni Ikulu akaanza kumueleza juu ya hiyo barua. Blandina Nyoni alivyorudi Wizarani akaanza kuwatukana Madaktari kwamba hakuna daktari Mwanaume Wizarani na kwamba kama waliona ana mapungufua kwa nini wasimwambie hadi waandike barua kwa Rais? Then akajitamba wataona sasa kama atafanywa chochote! Kwa hiyo kama ni hatua zilishachukuliwa toka zamani bila kuzaa matunda! TAFAKARI!
 
Back
Top Bottom