Engineermsuya
Member
- May 23, 2011
- 32
- 7
Kuna taarifa kuwa kuna ufisadi wa kutisha ambao unaendalea at the heart of Vodacom foundation Tanzania juu ya nani na sababu za watu kupewa au kusaidiwa miradi chini ya mpango wa CSR. In short hata Mwanakijii alipolalamika juu ya Vodacom Foundation humu sometimes back na watu waka muignore kumbe kulikuwa na ukweli ndani....na uzuri Mwanakijiji alikuwa anazo mpaka e-mail exchange kati yake na wakubwa wa Vodacom Foundation. Sasa taarifa za ndani zinasema kuwa vvikundi vinavyonufaika ni vile vya maswahiba au watu wa karibu wa hao mabosi wa hii foundation.
Sasa kama kweli then kutakuwa na hatari kubwa ya hawa jamaa wa Voda kuonekana wabaya mbele ya jamii a