Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
ila kuhusu effective use of the land kama anavyosema bwana mundu..ni kweli..pale kuna kosa..originally yale majengo yalikuwa yawe ni gorofa angalau moja hata watakaokumbuka ile michoro ya kwanza kabisa ilikuwa inaonyesha hivyo na hata engineer aliyefanya EIA (environment impact assesment) namjua kuna siku alisema hivyo...sasa kinachotokea i dont know...
kuhusu zile nyumba za mama Ana Mkapa pale kuna bomu na utapeli mkubwa sana, mama ana alilazimika kuzifanya ziwe za yatika baada ya ishu kufumuka..kwa plan ile hata mtoto wa darasa la kwanza hawezi kuamini kwamba zile nyumba zilikuwa za watoto yatima...yule mama hana roho nzuri kiasi hiko..ukiangalia vizuri hata plan ya finishing aliibadilisha badae..kaangalie madilisha...ilikuwa yawe ya vioo lakini mwisho ikapigwa nyavu ya kawaida tu...labda nae tutaangalia huko baadae itakuwaje na ana mkataba gani na serikali kuhusu ile ardhi but it is a completely a waste...
SIKU ZOTE NCHI ITALIWA NA WAJANJA...
Its obvious you know more than you are revealing je kuna ubaya gani kama client aliamua kubadili mawazo? consultant si anafuata tuu au ?