mikatabafeki
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 12,772
- 4,642
ni kweli anajitahidi sana kuiba hela ya umma kwaajili ya kampeniJamani kusema kweli Mwigulu anajitahidi ktk huu utawala wa sasa.
ni kweli anajitahidi sana kuiba hela ya umma kwaajili ya kampeniJamani kusema kweli Mwigulu anajitahidi ktk huu utawala wa sasa.
View attachment 229710View attachment 229711View attachment 229712View attachment 229713View attachment 229714View attachment 229715View attachment 229716View attachment 229717
Siongezi neno wala sipunguzi neno, ila eleweni Mwigulu ni mwizi na ndie alikuwa kiungo kati ya wizara na wezi wa Escrow na leo haya yametokea chini ya Naibu Waziri wa sarafu ya Tanzania Mheshimiwa Mtukufu Mwigulu Lameck Nchembe a.k.a Sokoine wa pili kama ajiitavyo.
Wezi wanafahamika ni lema kuiba magari,slaa wake za watu.
View attachment 229710View attachment 229711View attachment 229712View attachment 229713View attachment 229714View attachment 229715View attachment 229716View attachment 229717
Siongezi neno wala sipunguzi neno, ila eleweni Mwigulu ni mwizi na ndie alikuwa kiungo kati ya wizara na wezi wa Escrow na leo haya yametokea chini ya Naibu Waziri wa sarafu ya Tanzania Mheshimiwa Mtukufu Mwigulu Lameck Nchembe a.k.a Sokoine wa pili kama ajiitavyo.
NIANZE NA SWALI LAKO NO2! NI MMOJA WA WAJUMBE WA BARAZA LA MADIWANI WA HALMASHURI HIYO ILIYOFANYIWA HUO UPAGANISimpendi kabisa Mwigulu, na kila nikiona jina lake nakumbuka mauaji nyakati za uchaguzi... lakini nina maswali mawili
- Je kuna uhusiano gani kati ya hii thread na kuomba msamaha familia ya Sokoine??
- Je Mwigulu (the killer) anabebaje lawama zote wakati kuna TAMISEMI hapo inayohusika?
Natanguliza shukrani
Jamani kusema kweli Mwigulu anajitahidi ktk huu utawala wa sasa.
Ni wapi mwigulu anetajwa au amehusika kwenye hizi TOILET PAPER zako,Mnamsakama Mwigulu as if ndio anayekupa Ugali
wezi wanafahamika ni lema kuiba magari,slaa wake za watu.
Hawa ni wanachama wa - -VICHAAAA kazi yao ni kutunga uongo kwa ajili ya kuwachafua viongoz wanaokubalika,ili chama chao cha kikanda kukiinua na mshindwe na uroho wenu
Siku watu wawili Mwigulu Nchemba na mwenzake kijana vile vile Kighoma malima kwenda wizara pesa zetu nilitoa duku duku wazi kuwa hawa ni vibaka wameandaliwa kwenda kukomba hazina na kupata pesa ya uchaguzi sikueleweka!! ila sasa naeleweka. Mwigu sasa hataki kuiba kwa ajili wengine ila kwa ajili yake ili aende magogoni!!!View attachment 229710View attachment 229711View attachment 229712View attachment 229713View attachment 229714View attachment 229715View attachment 229716View attachment 229717
Siongezi neno wala sipunguzi neno, ila eleweni Mwigulu ni mwizi na ndie alikuwa kiungo kati ya wizara na wezi wa Escrow na leo haya yametokea chini ya Naibu Waziri wa sarafu ya Tanzania Mheshimiwa Mtukufu Mwigulu Lameck Nchembe a.k.a Sokoine wa pili kama ajiitavyo.
Wezi wanafahamika ni lema kuiba magari,slaa wake za watu.