Boflo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2010
- 4,384
- 4,409
Naomba kupewa ufananuzi kuhusu ziara za Rais (JK) nje ya nchi.Haupiti mwezi mmoja bila Bwana Mkubwa kusafiri nje ya nchi.
Ninabaki na maswali kichwani! hivi hana watu anaowaamini wa
kumwakilisha nje ya nchi kwenye shughuli zinazompeleka huko?
Ninakuwa na wasiwasi kama anapata muda wa kukaa ya kuambiwa au kuyaona
matatizo tuliyonayo watu wake. Sijaona na labda sio rahisi kuona
impacts za ziara zake kwenye uchumi na maendeleo ya nchi zaidi ya T-
shirt ya Cristian Ronaldo -(BWIN). Kutumiwa T-shirt si kitu cha kuvijunia
mpaka unaita press kuwaonyesha. Kwa Lumpen wa mitaani, Yes; lakini kwa
president, No. Kwa sababu wananchi wako hawajaona any added value kuwa
na T-shirt Ya Cristian.
Hebu angalia President wa Kenya, how often he travels outside the
country? very rare and when it happens, it is justified. Na sio Kenya
tu, bali Uganda Rwanda,Zambia na Malawi. Angekuwa President wa Burundi
kwenda nje mara kwa mara ningeelewa, lakini sio kwa Rais ambaye
amekuwa Foreign Minister kwa muda mrefu.
Kitu kingine, ni bahati mbaya gharama za safari zake hazitajwi, lakini
naamini zingejulikana, huenda Watanzania tungeandamana kwa sababu bila
shaka ni za kutisha.
Inawezekana kabisa moja ya hobbies zake kubwa ni kusafiri. na kitu
kikiwa hobby, oops! tutakuwa tunamuonea kumsema.
Ninabaki na maswali kichwani! hivi hana watu anaowaamini wa
kumwakilisha nje ya nchi kwenye shughuli zinazompeleka huko?
Ninakuwa na wasiwasi kama anapata muda wa kukaa ya kuambiwa au kuyaona
matatizo tuliyonayo watu wake. Sijaona na labda sio rahisi kuona
impacts za ziara zake kwenye uchumi na maendeleo ya nchi zaidi ya T-
shirt ya Cristian Ronaldo -(BWIN). Kutumiwa T-shirt si kitu cha kuvijunia
mpaka unaita press kuwaonyesha. Kwa Lumpen wa mitaani, Yes; lakini kwa
president, No. Kwa sababu wananchi wako hawajaona any added value kuwa
na T-shirt Ya Cristian.
Hebu angalia President wa Kenya, how often he travels outside the
country? very rare and when it happens, it is justified. Na sio Kenya
tu, bali Uganda Rwanda,Zambia na Malawi. Angekuwa President wa Burundi
kwenda nje mara kwa mara ningeelewa, lakini sio kwa Rais ambaye
amekuwa Foreign Minister kwa muda mrefu.
Kitu kingine, ni bahati mbaya gharama za safari zake hazitajwi, lakini
naamini zingejulikana, huenda Watanzania tungeandamana kwa sababu bila
shaka ni za kutisha.
Inawezekana kabisa moja ya hobbies zake kubwa ni kusafiri. na kitu
kikiwa hobby, oops! tutakuwa tunamuonea kumsema.