Ufafanuzi wa Ndalichako wa Necta haukubaliki, awajibishwe kwa manufaa ya UMA- Mwanahalisi

Kama una mashaka na matokeo ya shule yoyote ya seminary unaruhusiwa kama mtu binafsi au timu ya watu kukata rufaa kwa maelezo kwamba una mashaka kuna udangayifufu wa matokeo.

Jambo hili ni kwa maslahi ya taifa haitoshi kupiga kelele tu bali ni pamoja na kuchukua hatua za kusonga mbele hadi baraza la mitihani.


kuna shule kama St. Paul na St. Magreath hazina Div 1 hata moja, hakuna Div 2 na Div. 3 hazizidi tano wengi wako div. 4 na ziro. Tazama kwenye tovuti ya baraza la mitihani zipo shule za kutosha za st. ambazo hazikufanya vizuri.

Hizo za div 1 zinauhusiano gani wa kibiashara na huyu mama? Maana elimu sasa imkuwa biashara kubwa. lkn why hawa wanafunzi wanapoangukia vyuoni huwa ndio wa mwisho kimatokeo?
 
labda kama utaratibu umebadilika siku hizi lakini ndani ya chumba cha kusahihisha mtihani kila mwanatimu anatakiwa kusahihisha swali moja kwenye karatasi moja na kuzungusha karatasi ili mwalimu mwingine asahihishe swali linalofauta mpaka somo moja linamalizika kwa mfumo huo.

Karatasi za mitihani zina namba hakuna majina ili pamoja na mambo mengine kuepusha upendeleo, wa jinsia, rangi, dinia hata kabila. Kwa mfano, mwalimu mwanamke angeweza kuwapendelea wanawake endapo karatasi zingekuwa na majina.
 
labda kama utaratibu umebadilika siku hizi lakini ndani ya chumba cha kusahihisha mtihani kila mwanatimu anatakiwa kusahihisha swali moja kwenye karatasi moja na kuzungusha karatasi ili mwalimu mwingine asahihishe swali linalofauta mpaka somo moja linamalizika kwa mfumo huo.

Karatasi za mitihani zina namba hakuna majina ili pamoja na mambo mengine kuepusha upendeleo, wa jinsia, rangi, dinia hata kabila. Kwa mfano, mwalimu mwanamke angeweza kuwapendelea wanawake endapo karatasi zingekuwa na majina.
hakuna Tanzania lisilowezekana ikiamulika tu. Huyu mama maamuzi kayafanya hotelini kwa manufaa yake. hapa ndipo alipotufikisha huyu mama
 
Hizo za div 1 zinauhusiano gani wa kibiashara na huyu mama? Maana elimu sasa imkuwa biashara kubwa. lkn why hawa wanafunzi wanapoangukia vyuoni huwa ndio wa mwisho kimatokeo?

hapo kwenye nyekundu nina mashaka kwa tuliopitia vyuoni hakuna utafiti unaweza kuhitimisha (conclusion) katika jambo hili. Waliopita vyuoni wanaweza kunisahihisha kwani vyuo hivi tumesoma wengi sio rahisi kudanganya hadhara hii ya JF.
 
Hizo za div 1 zinauhusiano gani wa kibiashara na huyu mama? Maana elimu sasa imkuwa biashara kubwa. lkn why hawa wanafunzi wanapoangukia vyuoni huwa ndio wa mwisho kimatokeo?

Ujue mambo mengine unayoyasema hapa naona kama vile unaota. Wewe ushaona chuo kipi hao waliopata div 1 wanakua wa mwisho? Hebu zungumza vitu vyenye uhakika siyo story mnazopiga huko kwenye vijiwe vyenu vya gahawa utuletee great thinkers.
Halafu matokeo ya vyuo wakati mwingine huwa yanakua influenced na individual subjectivism hasa kwa malecturer , waulize maT.O wanajua wanayoyapata. Kwa upande mmoja siyo kipimo bora cha kupima mwanafunzi.
 
hakuna Tanzania lisilowezekana ikiamulika tu. Huyu mama maamuzi kayafanya hotelini kwa manufaa yake. hapa ndipo alipotufikisha huyu mama

Siko hapa kumtetea Ndalichako ni mteule wa Rais na anaweza kumwondoa hata leo kwa maslahi ya nchi yetu. Niko hapa kujenga hoja ambazo hata mteule wa ndalichako akielezwa hatakuwa na mashaka ya kumtupa mama huyu nje ya baraza la mitihani.

Kwa sababu nafasi za kukata rufaa zipo mteule wa ndalichako anaweza kuuliza wanaolalamika walipitia hatua hizo? Mahakama ya rufaa hapa ni Rais lakini endapo tu mahakama za chini zimeshindwa kazi au zinapendelea.

Ndalichako hawezi kutusumbua kama ana jambo baya anafanya pale tumuondoe lakini je akija ndalichako mwingine tutafanya nini kama hatuzuii chanzo cha tatizo?

Ni lazima tujue ni kwa namna gani Katibu wa baraza la mtihani ana mamlaka ya kuingilia usahihishaji na hatimaye kuathiri matokeo ya wanafunzi. Anahusika kusahihisha? Je anahusika kupanga alama za wanafunzi? na mamabo mengine ya kujiuliza.
 
Narudia tena, anzisheni NECTA yenu kama mlivyoanzisha SUMATRA yenu isiyokagua meli zenu mbovu mbovu. NECTA yenu iwatungie mitihani huko huko, iwasahihishie na kukupeni 1st class nyote huko huko, na pia muajiriwe huko huko. Kama hamtaki kaeni kimya. Na bado Form six wakileta zenu za kuigilizana wanalambwa wote. Hadi mkome kuazimana hadi akili.
 
TUtakuwa hatuindei haki nchi yetu kama ni mwaka jana tu ndalichako alifuta matokeo ya wanafunzi wa darasa la 7 wapatao 9000 na bado hatujui hatima ya watoto hawa lakini leo tunaona wanafunzi wa kidato cha nne ndio bora kuliko wa darasa la saba. Sina hakika watoto hawa walikuwa kabila gani, rangi gani, jinsia gani au dini gani lakini wote ni watanzania.
 
Narudia tena, anzisheni NECTA yenu kama mlivyoanzisha SUMATRA yenu isiyokagua meli zenu mbovu mbovu. NECTA yenu iwatungie mitihani huko huko, iwasahihishie na kukupeni 1st class nyote huko huko, na pia muajiriwe huko huko. Kama hamtaki kaeni kimya. Na bado Form six wakileta zenu za kuigilizana wanalambwa wote. Hadi mkome kuazimana hadi akili.
Hizo chuki tu, kama st 7 mliwapigania hadi wabunge , au kwa sababu wakiristo wenzenu?
 
TUtakuwa hatuindei haki nchi yetu kama ni mwaka jana tu ndalichako alifuta matokeo ya wanafunzi wa darasa la 7 wapatao 9000 na bado hatujui hatima ya watoto hawa lakini leo tunaona wanafunzi wa kidato cha nne ndio bora kuliko wa darasa la saba. Sina hakika watoto hawa walikuwa kabila gani, rangi gani, jinsia gani au dini gani lakini wote ni watanzania.
st 7 wamerudishwa kwa sababu 79% ni wadini yenu, vyombo vya habari vilitumiwa kikamilifu kuibana gov. f4 ni wengi dini nyengine 99% kwa hivyo ndio maana mnaunga Mkono Necta.Lkn siku akifuta matokeo ya ST sijui kama itatatokea kwa Ndalichako kufanya hivi, hapa ndio mwisho wa Ndalichako wa NECTA
 
Ujue mambo mengine unayoyasema hapa naona kama vile unaota. Wewe ushaona chuo kipi hao waliopata div 1 wanakua wa mwisho? Hebu zungumza vitu vyenye uhakika siyo story mnazopiga huko kwenye vijiwe vyenu vya gahawa utuletee great thinkers.
Halafu matokeo ya vyuo wakati mwingine huwa yanakua influenced na individual subjectivism hasa kwa malecturer , waulize maT.O wanajua wanayoyapata. Kwa upande mmoja siyo kipimo bora cha kupima mwanafunzi.

angalia pita vyuo vyote nchini kila mwaka wanaograduate utaona ni hawa wa Div 11 na 111. nimeona UDSM, MZUMBE na hata DIT. sijabahatika kuona hizi sura za sem zikawa za 1
 
st 7 wamerudishwa kwa sababu 79% ni wakiristo, vyombo vya habari vilitumiwa kikamilifu kuibana gov. f4 ni wengi waislam 99% kwa hivyo ndio maana mnaunga Mkono Necta.Lkn siku akifuta matokeo ya ST sijui kama itatatokea kwa Ndalichako kufanya hivi, hapa ndio mwisho wa Ndalichako wa NECTA

Wewe zuzu kweli......yaani STD VII unaihusisha na NECTA?
 
Hizo chuki tu, kama st 7 mliwapigania hadi wabunge , au kwa sababu wakiristo wenzenu?

Toka mwanzoni nilshakugundua huna hoja mpya zaidi ya udini tuuu, na huu ni ugonjwa mbaya sana. Somesheni watoto nyie siyo kuwawekea watoto mazingira ya kuwa walalamishi kila siku.
 
Siko hapa kumtetea Ndalichako ni mteule wa Rais na anaweza kumwondoa hata leo kwa maslahi ya nchi yetu. Niko hapa kujenga hoja ambazo hata mteule wa ndalichako akielezwa hatakuwa na mashaka ya kumtupa mama huyu nje ya baraza la mitihani.

Kwa sababu nafasi za kukata rufaa zipo mteule wa ndalichako anaweza kuuliza wanaolalamika walipitia hatua hizo? Mahakama ya rufaa hapa ni Rais lakini endapo tu mahakama za chini zimeshindwa kazi au zinapendelea.

Ndalichako hawezi kutusumbua kama ana jambo baya anafanya pale tumuondoe lakini je akija ndalichako mwingine tutafanya nini kama hatuzuii chanzo cha tatizo?

Ni lazima tujue ni kwa namna gani Katibu wa baraza la mtihani ana mamlaka ya kuingilia usahihishaji na hatimaye kuathiri matokeo ya wanafunzi. Anahusika kusahihisha? Je anahusika kupanga alama za wanafunzi? na mamabo mengine ya kujiuliza.

hizi ni siasa zako. Ndalichako amechoka, sasa anatumia fikra mbovu tu. badala ya kuwadhibiti NECTA kuzuia mitihani na kundi lake ameingia kwenye kuwanyanyasa wanafunzi
 
Ingawa unajaribu kukwepa hoja ya msingi, najua unafahamu vizuri zaidi kuhusu MFUMO KRISTO jinsi unavyoendesha nchi hii. Mimi ni kukumbushe kwamba, hata hao Waiislamu wenye madaraka wamedhibitiwa na mfumo huu hatari sana hapa Tanzania.
Chukua mfano mdogo tu katika sakata la Wanafunzi wa Kiislamu kule Ndanda, huyo unae mwita mkuu wa kaya pamoja na Tamisemi waliagiza Wanafunzi wale waruhusiwe kufanya mtihani bila masharti. Mfumo kupitia kwa yule alie wahi kupewa tunzo na Papa kwa kulitumikia vyema Kanisa ulihakikisha Waislamu wale hawapati haki yao! nani asie jua hili?
Mfumo umewafundisha waumini wake kutanguliza dini kwanza na Utanzania baadae.
Mtu akisema ukweli anabadilishwa jina anaitwa mdini. Sasa huyu na wale wanaousimaia MFUMO KRISTO nani mdini?
Ukweli siku zote utabakia kuwa ukweli...
 
tatizo linakimbiwa, tatizo ni huyu mama Ndalichako na NECTA yake, au kwa kuwa mnapata div 1 za st ndio mnafumba macho?

Naomba kuuliza kunguru mweusi. Hizi div 1 za st ndio zipi? na zina tofauti gani na div 1 nyingine?
 
Back
Top Bottom