Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 47,089
- 32,510
Vipi kamanda bado unazungusha mikono na kupiga deki barabara?Wewe unazani walioko serikalini ni watoto wa akina makamba kikwete,mwinyi na nnauye pekee..serikali umeshaiona ni ya kwenu peke yenu sio.. ukiona mwingine unataka kupasuka kwa chuki..
nasikia magu atakomaa na ishu ya poda..sasa sijui utaponea wapi