bizzle for shizzle
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 1,010
- 736
Huo sio moto kuna masela kama 20 wapo eneo hilo wanakula bange zao tangu asubuhi
Yes he is correct!!Kuna jamaa yangu yupo airport Dar, kaniarifu kuwa zima moto wa uwanja wa ndege wanafanya mazoezi, hivyo wamechoma moto ki ndege ambachoni scrap. Toa hofu mkuu.
Yaaaah!Ndio muendelezo wa ile mada ya The Boss..... huwezi kushindana na watoto wa mjini, nawaza tu.
Madam ni mazoezi tu kama vipi tupande wote one day!!!Labda bombadia imewashwa tayari kwa safari
Nasikia ina moshi kama trekta
Hapana aseee hata kwa ofa hapanaMadam ni mazoezi tu kama vipi tupande wote one day!!!
Mwambie akitumie picha....Kuna jamaa yangu yupo airport Dar, kaniarifu kuwa zima moto wa uwanja wa ndege wanafanya mazoezi, hivyo wamechoma moto ki ndege ambachoni scrap. Toa hofu mkuu.
Sio bombadia ni streamline
Kwamba kimepita njia ya airbus..?
MotoAnayejua kumetokea nini mitaa ya Airport magari aina zote fire,polis na viongozi yanaelekea uko.Tunaomba mtujuze
zimesafiri mm nimezionaBombadier hazijasafiri leo kwa sababu mafuta yameibiwa, kisima cha mafuta uenda kimelipuliwa kupoteza ushaidi
siyo mawingu ata mimi nipo kitunda relin nanimeona nikastuka sana ilasjui nnWee acha kujichanganya,hayo ni mawingu na moshi wa matairi hapo jirani tu!.