MKATA KIU
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 2,861
- 6,228
Heshima kwenu wote wadau wa mpira, Binafsi ni mshabiki wa Man utd na timu yangu ni nzuri ya mwaka huu na inanipa matumaini inavyogawa dozi kwenye premier league kila siku, bt ninaombea nisipangwe na hao watu wawili Barcelona na Real madrid wa msimu huu sababu najua shughuli ya hao watu ni nzito especially Messi,
Wadau hebu tusaidiane kwenye hoja, Ni timu gani inaweza kumtoa barcelona au madrid UEFA zaidi ya kutoana wenyewe kwa wenyewe, ,,,
Wadau hebu tusaidiane kwenye hoja, Ni timu gani inaweza kumtoa barcelona au madrid UEFA zaidi ya kutoana wenyewe kwa wenyewe, ,,,