Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
kwa wapenzi wa timu ya arsenal mwaka huu,mnaweza mkaisikia uefa kwenye bomba kwani naona huyu kocha bado hajakubali kuwa hizo sera zake,zime fail za kutosajili wa2u wenye uwezo.hata jana imefungwa na timu ya benfica 2-1.kwa staili ile ile anaanza kushinda,lakini mwishoni anafungwa yeye!kazi kwenu na band yenu.
Alex Chamberlain ataimarisha kikosi