John Haramba
JF-Expert Member
- Feb 4, 2022
- 365
- 1,373
Licha ya kuwa uwanja wa ugenini, Manchester City wameichapa Sporting Lisbon mabao 5-0 na hivyo kujiweka kwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele hatua inayofuata ya UEFA Champions League.
FC Porto hapo ipo wapi mkuuLicha ya kuwa uwanja wa ugenini, Manchester City wameichapa FC Porto mabao 5-0 na hivyo kujiweka kwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele hatua inayofuata ya Uefa Champions League.
View attachment 2120690
Sporting CP au Sporting Lisbon sio FC PortoLicha ya kuwa uwanja wa ugenini, Manchester City wameichapa FC Porto mabao 5-0 na hivyo kujiweka kwenye nafasi kubwa ya kusonga mbele hatua inayofuata ya Uefa Champions League.
View attachment 2120690