ndo hivyo teteeni maslahi yenu na yakizazi kijacho na ya watu wa udom, na tumaini na st agustin! Kuumia kupo tuu!
Hope hii sio ya Leo!!
Hiyo shori ya kushoto kiunoni maashallah....
Kama wanalia vile lakini pia inaonekana wanaikimbia kamera isiwaone usoni!!! Lakini mpaka kuingia mtaroni kulikuwa na noma na nadhani ni ile noma ya juzi!!! Poleni wadogo zetu, hata nyie kupata huo mkopo nasi pia tulipigwa 1995!!! Kwanza mtaa wa Jamhuri!!! Na alikuwapo Bilal na Qororo
du! Mkuu umenikumbusha mbali kweli, enzi zile tukienda pale Jamhuri wakati huo Ben Mkapa ndie waziri wetu na katibu wake ni Dr. Bilal, RC alikuwa Gewe!! Moto uliwaka pale Jamhuri St.