ndupa
JF-Expert Member
- Jan 25, 2008
- 4,403
- 141
dah umenifurahisha sana aise!!! embu tumuite bwana Domu aje atuhakikishie!!!!!!Tulielezwa UDOM ni kama Barcelona vipi tena?
Kwani mmeamua kumuuza Mess, Eniesta, Xavi?
Kama hali ya maisha ni hiyo inaashiria kuwa ni kweli mabinti wa UDOM wanajiuza hadi kwa jero jero au buku buku.
Last edited by a moderator: