Udi inayofaa kwa mwanamke kujifukiza

Mti wa Chuma

JF-Expert Member
Jul 2, 2015
331
99
Habari msomaji wa uzi huu,

Leo nitazungumzia aina ya mafusho/udi ambayo zinafaa kwa mwanamke kujifukiza. Wanawake wengi hawajui matumizi sahihi ya udi/mafusho.

Ili mambo yako yawe sawa hasa kimapenzi inatakiwa utumie mafusho yafuatayo;
-Ambar
-Rawandi
-Kafur
-Zafarani
-Mustaka

Unatakiwa kuchoma siku za Alhamisi, Ijumaa au Jumatatu. Au uchome siku yeyote katika saa za atlarid, zuhura au qamar.

Hakika ukizingatia hayo yote mambo yako yataenda vyema.
 
Habari msomaji wa uzi huu,

Leo nitazungumzia aina ya mafusho/udi ambayo zinafaa kwa mwanamke kujifukiza. Wanawake wengi hawajui matumizi sahihi ya udi/mafusho.

Ili mambo yako yawe sawa hasa kimapenzi inatakiwa utumie mafusho yafuatayo;
-Ambar
-Rawandi
-Kafur
-Zafarani
-Mustaka

Unatakiwa kuchoma siku za Alhamisi, Ijumaa au Jumatatu. Au uchome siku yeyote katika saa za atlarid, zuhura au qamar.

Hakika ukizingatia hayo yote mambo yako yataenda vyema.
mwenyewe ndiyo unaona umetoa elimu kwa watu hapo...kama kuelimisha kwenyewe ni hivi bora hiyo elimu yako baki nayo!
 
Hiyo ya Ambar ni kama nishawahi kuiona kwa wife anafukiza ndani ila sikuiangalia vzr mimi napenda kula vilivyopikwa sijali vimepikwaje.

Sasa hapo kwenye utaratibu wa mda ndio sielewi uhusiano wa kufukiza na mda maalum.

Isije ikawa ndio ile watu kuamini kwamba udi hufukizwa kuvuta majini
 
Kama udi ni kwa ajili ya kujiremba iweje kuna masharti ya siku za kutumia.Na je hakuna mawasilia kati ya udi na yule kiumbe aliyefukuzwa mbinguni?
 
Kama udi ni kwa ajili ya kujiremba iweje kuna masharti ya siku za kutumia.Na je hakuna mawasilia kati ya udi na yule kiumbe aliyefukuzwa mbinguni?

Mkuu hakuna masharti sana ila huwa kuna utaratibu wa kutumia. Ni kama kuvaa nguo huwezi kuvaa shati juu ya koti. Pia hakuna uhusiano na shetani labda wewe ufukize kwa nia mbaya.
 
Hiyo ya Ambar ni kama nishawahi kuiona kwa wife anafukiza ndani ila sikuiangalia vzr mimi napenda kula vilivyopikwa sijali vimepikwaje.

Sasa hapo kwenye utaratibu wa mda ndio sielewi uhusiano wa kufukiza na mda maalum.

Isije ikawa ndio ile watu kuamini kwamba udi hufukizwa kuvuta majini

Mkuu kila kitu hufanyika kwa muda maalum huwezi kufanya jambo lolote bila muda. Kuhusu kufukiza udi kwa muda hizo nilizotaja hapo juu huwa inafaa zaidi. Hakuna uhusiano wowote wa udi na majini bali ukitaka unaweza kuchoma udi kwa kumwita jini mwema au jini mbaya. Ni wewe tu
 
Udi inayofaa kwa mwanamke kujifukiza (II)

Kuna wadau wameomba nielezee kwa undani zaidi. Nimeona si vibaya nielezee kwa undani zaidi kwa wanaume na wanawake.
Udi hakuna mtu asiyefahamu ila watu hawajui matumizi yake. Udi unaweza kujifukiza kama wewe ni mwanamke.
JINSI YA KUJIFUKIZA.
Kuna njia tofauti za kujifukiza udi, unaweza kufukiza nguo zako, unaweza kujufukiza baada ya kuoga kwa kuwa udi kisha unajifunika huku moshi wa udi ikisambaa kote mwilini mwako pia unawasha ndani ya nyumba.
UDI NA IMANI
Udi pia huhusika kwenye mambo ya kiimani, unaweza kuchoma udi na kuwaita malaika wazuri kwenye biashara yako, ndani kwako nk. Unaweza kuchoma udi kwa kufanya sala, wakati udi inawaka unasali unachotaka. Hapo unamwomba Mwenyezi Mungu na si udi.
Pia udi ni tiba. Kuhusu tiba nitaelezea siku nyingine.
 
Ni kweli humuita jini mwenye jicho moja. Usifanye mchezo na udi yule jini wa jicho moja anatoka kwenye chupa kama konokono anavyojichomoa taratibu kwa madaha kutoka kwenye koti lake. Udi balaa!
Duhh
 
Habari msomaji wa uzi huu,

Leo nitazungumzia aina ya mafusho/udi ambayo zinafaa kwa mwanamke kujifukiza. Wanawake wengi hawajui matumizi sahihi ya udi/mafusho.

Ili mambo yako yawe sawa hasa kimapenzi inatakiwa utumie mafusho yafuatayo;
-Ambar
-Rawandi
-Kafur
-Zafarani
-Mustaka

Unatakiwa kuchoma siku za Alhamisi, Ijumaa au Jumatatu. Au uchome siku yeyote katika saa za atlarid, zuhura au qamar.

Hakika ukizingatia hayo yote mambo yako yataenda vyema.
Mmmmh!!! Kuna mdada alickia ishu kama hizi za kuchoma udi karaha, sijui udi jinni, akachoma ucku wa manane!!!....... Kilichompata....... mpaka leo huyo Dada ni chizi!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom