Hizo picha ni hisia wala sio uhalisia wa matukioSikuelewi unasema nini hapa tunaongelea picha za kuchora tunaambiwa za kweli.
Hebu tupe mfano mmoja tu ulio kusukuma kutoa maneno hayo. Isije kuwa tatizo ni kuzidiwa uwezo ndio unao kufanya uwe na chuki.mimi siamini kama kuna waarabu wema,dharau ya mwarabu na mhindi kwa mu Africa ni mara 10 ya dharau ya mzungu
Hauna hoja yoyote ni ubaguzi tu,mbona watanzania wingi wanauwa,wanafungwa na kufanyiwa madhira mengi ya kutisha chini ya utawala wa CCM? Na bado mnachukua nchi,udharimu hauna rangi wala dini wala kabila,udharimu ni udharimu tuu,kwani aliyeua wazanzibar 2000 ni Sultan???acha unafki
ninaona ombwe fulani katik bandiko lako psco wa JF.
Bila kujali Rangi binadamu wote ni wabinafsi. Katika mida tofautitofauti karibu kila Jamii ya watu iliwafanya wenzake watumwa.
Mfano leo dunia nzima kuna watumwa wengi sana kuliko hata enzi za Sultani na wanatumikishwa karibu na kila race.
Kwa kukufungua kidogo, Mfanya biashara wa kwanza na kigogo wa kuuza watumwa weusi ndani ya amerika alikuwa ni mtu mweusi,
Ungejifunza pia siku baada ya mapinduzi watu weusi waliwafanya nini waarabu na wahindi chini ya Fidel Martial OKello.
Kuna itallian firm marker aliyekuwepo huko anaelezea kupiga picha open mass grave ikiwa ni kaburi la waarabu waliouliwa na kubakwa kinyama na watu weusi.
Kwa kutambua hilo A.A Karume aliitengeneza zanzibar mpya na kumfurusha Okello na kuwa kinyume na watu weusi wote waliokuwa na msimamo huo wa kipuuzi. Hiki ndio kinamfanya aonekane Mtu bora kabisa barani afrika.
Sioni sababu ya kumsimanga mwarabu, yamepita tusonge mbele. ukisoma wajapani walichokifanya east asia na china utamuona mwarabu kama kasisi.
Kwani ni uongo kwamba waarabu hawafundishi watu kujilipua? Mwarabu ana roho mbaya sana.Thats what History taught us! Mwarabu mtu mbaya,mwarabu anaingilia watu kinyume na Maumbile,mwarabu anajitoa mhanga na mabaya yote! Kuna mtu mmoja alipata kuniambia,tazama picha zote hatopata picha ya kupiga ambayo mwarabu anamtesa Mwafrika,zilizopo ni za kuchora tu! Anae pigwa vita hapo sio Mwarabu laa hasha! Ni UISLAMU! Na wala hatushangai,makufari laiti tungeyaona yaliyo vifuani mwao ni makubwa zaidi ya haya! Vipi watu walio uawa kwenye vita ya kwanza na ya pili ya Dunia! Vipi watu walio uawa na Bush na Obama Libya,Iraq,Afghanstan,Kosovo nakadhalika! History ni Uongo wa kuwatukuza Makatonta zidi ya Uislamu!
Kweli mkuu kunawatumwa mamillion walipelekwa marekani ikawa kule marekani walijaa ikabidi sasa wapelekwe Jamaica na nchi kibao na pengine wakapelekwa Liberia sasa sijuwi hawa wachukuliwa na waarabu au mabwana zenj wazungu ambao hamuwasemi kwasababu walikuwa wakiwapa shanga na vioo na mitumba ya nguoThats what History taught us! Mwarabu mtu mbaya,mwarabu anaingilia watu kinyume na Maumbile,mwarabu anajitoa mhanga na mabaya yote! Kuna mtu mmoja alipata kuniambia,tazama picha zote hatopata picha ya kupiga ambayo mwarabu anamtesa Mwafrika,zilizopo ni za kuchora tu! Anae pigwa vita hapo sio Mwarabu laa hasha! Ni UISLAMU! Na wala hatushangai,makufari laiti tungeyaona yaliyo vifuani mwao ni makubwa zaidi ya haya! Vipi watu walio uawa kwenye vita ya kwanza na ya pili ya Dunia! Vipi watu walio uawa na Bush na Obama Libya,Iraq,Afghanstan,Kosovo nakadhalika! History ni Uongo wa kuwatukuza Makatonta zidi ya Uislamu!