QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Kama serikali ya CCM inajihusidha na utekaji, upigaji na jaribio la kumuua kiongozi wa madaktari nchini, dr. Ulimboka kwa hali inavyoonekana, udhaifu wa CCM imezidi kujidhihirisha.
Watanzania naomba tuamke tupambane hali si hali.
mauaji ambayo serikaali ya CCM imehusishwa nayo ni kama ifuatavyo:-
Kila mtanzania mpenda amani, TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA CCM; NI JANGA LA KITAIFA
Quality
Watanzania naomba tuamke tupambane hali si hali.
mauaji ambayo serikaali ya CCM imehusishwa nayo ni kama ifuatavyo:-
- Mauaji ya Igunga
- Usa liver
- Jaribio kwa wabunge, Kirumba
- Mabwe pande, wafanya biashara wa madini
- orodha ni kubwa
Kila mtanzania mpenda amani, TUSHIRIKIANE KUTOKOMEZA CCM; NI JANGA LA KITAIFA
Quality