MWIBA WA KATANI
Member
- Feb 26, 2012
- 39
- 42
Leo Prof.Lipumba ameongea na vyombo vya habari na kuelezea kuwa katika utafiti aliokuwa akiufanya imebainika uchumi shirikishi ndio njia pekee yakusaidia nchi zenye utajiri mwingi kama tanzania.Alitoa mfano ili kufafanua kwamba endapo kila mtanzania akifunguliwa akaunt na kupatiwa asilimia fulani ya mapato yanayotokana na madini,ges na maliasili nyingine nchini na asilimia fulani akawa anakatwa kodi na serikali,itamfanya mwananchi kuwa makini kwa maliasili yake na kuibana serikali kuhusu maliasili hizo.