silver25
JF-Expert Member
- Jul 29, 2010
- 743
- 44
Huyu mbunge aliye maliza muda wake tarime bWANA Mwera Charles Nyanguru KAHAMA CHADEMA NA kakimbilia CUF kwaajili ya kupata tu fursa ya kugombea baada ya kuboronga katika kipindi kilicho pita na watu bila Kumfumbia macho wakampiga chini chadema.
Na hawa wakina mpendazoe the same issue hakuna lolote ni uchu wa madaraka na kutaka sifa nothing, na viongozi wa aina hii, hawafai kwani leo chadema, kesho cuf na keshokutwa utawakuta wanaanzisha vyama vyao ambavyo huwa vinakuwa havina uhai kama CCJ.
Hawajachaguliwa sasa wanatamani kurudi kundini kwa mfano Mwera
Na hawa wakina mpendazoe the same issue hakuna lolote ni uchu wa madaraka na kutaka sifa nothing, na viongozi wa aina hii, hawafai kwani leo chadema, kesho cuf na keshokutwa utawakuta wanaanzisha vyama vyao ambavyo huwa vinakuwa havina uhai kama CCJ.
Hawajachaguliwa sasa wanatamani kurudi kundini kwa mfano Mwera