haki na usawa
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 481
- 135
naomba kuuliza je kuna nini katika uchimbaji wa uranium katika nchi hii
maana hata dhahabu uzingatiaji wa afya za wananchi hakuna lakini tunataka kuchokoza madini hatari yaliyokaa chini na uwezo wa kuchimba hatuna ila kuweka wakezezaji tena sababu eti umeme mimi nalia kwa uchungu na nashindwa kuelewa je nchi hii ina nini? na wanataka nini kitokee ndipo watu washituke tunapokwenda? na je viongozi wetu madini mengine yameisha? au kuna mgawanyo wa madini fulani ni fulani kokote yapopatikani nchini ni lazima kamisheni ale yeye? naomba wachangiaji wanielimishe nashindwa kujua sababu ya nchi masikini kuamuru/kutaka kuchimba madini hatari kwa kutegeme wawekezaji na je kweli tutafika salama? Dsm hawana habari lakini maji ya uranium watakunywa wapende wasipende je wananchi wanajua ecolojia? au umeme ni kila kitu kwetu? hata anayelazimisha ajue ndugu zake wataumia tu wapende wasipende maana madhara yana mlolongo mrefu." NAOMBA TUSHIRIKI KUWAELEZA WATOA MAAMUZI NA BILA HIVYO TUSUBIRI MAAFA NA NI MAKUBWA KULIKO YA NORTH MARA YA KIMAZINGIRA" wazoefu waeleze madhara yake wazi na bila hivyo twajirushia bomu wenyewe na hakuna wa kutulipa wenzetu Japani walipigwa mpaka sasa wanalipwa fidia na waliyewapiga." UCHUNGU KUHALALISHA MADHARA KWA WANYONGE NA WANYONGE WAFE ILI MTU APATE ASILIMIA YA KAMISHENI" HAKUNA KIONGOZI MWENYE MACHUNGU NA WANYONGE KAMA UONGO ANGALIA MAENEO YA MIGODI NA SEHEMU WALIKO WAWEKEZAJI. NAOMBA JE TUFANYEJE TUNAKOKWENDA SI KUZURI KILA ZURI LA MWEKEZAJE BILA KUJALI TUNAPATA NINI HATA KIBAYA SAWA KWA NCHI YAKO MAANA WEWE UMEPATA FUNGU LAKOLISILO NA MADHARA NA JE MAREKANI HAYAPO? JE WAMEYACHIMBA? KWANINI HAWATAKI KUCHIMBA? NA KAMA KWANINI KWETU NA SI KWAO? NA JE WATU WAO WATAINGIA KUCHIMBA AU WATANZANIA? JE WAMEJIANDAA KUKABILI MADHARA NA NEMC YA NORTH MARA? KUPEWA TIKEKI NA UNAYEENDA KUMWANGALIA KAAMUZAJE WATU WAKO? KUKODISHA NDEGE KWA WABUNGE ILI WASAIDIE KUFUNGA MJADALA WA MADHARA? kumbuka siasa ni mpito maamuzi yako leo yatakuumiza na wewe pia kesho maana hutakuwa na siku zote."KILA NAFSI ITAPITA ILA JEMA/BAYA LA NAFSI LITABAKI MILELE"
maana hata dhahabu uzingatiaji wa afya za wananchi hakuna lakini tunataka kuchokoza madini hatari yaliyokaa chini na uwezo wa kuchimba hatuna ila kuweka wakezezaji tena sababu eti umeme mimi nalia kwa uchungu na nashindwa kuelewa je nchi hii ina nini? na wanataka nini kitokee ndipo watu washituke tunapokwenda? na je viongozi wetu madini mengine yameisha? au kuna mgawanyo wa madini fulani ni fulani kokote yapopatikani nchini ni lazima kamisheni ale yeye? naomba wachangiaji wanielimishe nashindwa kujua sababu ya nchi masikini kuamuru/kutaka kuchimba madini hatari kwa kutegeme wawekezaji na je kweli tutafika salama? Dsm hawana habari lakini maji ya uranium watakunywa wapende wasipende je wananchi wanajua ecolojia? au umeme ni kila kitu kwetu? hata anayelazimisha ajue ndugu zake wataumia tu wapende wasipende maana madhara yana mlolongo mrefu." NAOMBA TUSHIRIKI KUWAELEZA WATOA MAAMUZI NA BILA HIVYO TUSUBIRI MAAFA NA NI MAKUBWA KULIKO YA NORTH MARA YA KIMAZINGIRA" wazoefu waeleze madhara yake wazi na bila hivyo twajirushia bomu wenyewe na hakuna wa kutulipa wenzetu Japani walipigwa mpaka sasa wanalipwa fidia na waliyewapiga." UCHUNGU KUHALALISHA MADHARA KWA WANYONGE NA WANYONGE WAFE ILI MTU APATE ASILIMIA YA KAMISHENI" HAKUNA KIONGOZI MWENYE MACHUNGU NA WANYONGE KAMA UONGO ANGALIA MAENEO YA MIGODI NA SEHEMU WALIKO WAWEKEZAJI. NAOMBA JE TUFANYEJE TUNAKOKWENDA SI KUZURI KILA ZURI LA MWEKEZAJE BILA KUJALI TUNAPATA NINI HATA KIBAYA SAWA KWA NCHI YAKO MAANA WEWE UMEPATA FUNGU LAKOLISILO NA MADHARA NA JE MAREKANI HAYAPO? JE WAMEYACHIMBA? KWANINI HAWATAKI KUCHIMBA? NA KAMA KWANINI KWETU NA SI KWAO? NA JE WATU WAO WATAINGIA KUCHIMBA AU WATANZANIA? JE WAMEJIANDAA KUKABILI MADHARA NA NEMC YA NORTH MARA? KUPEWA TIKEKI NA UNAYEENDA KUMWANGALIA KAAMUZAJE WATU WAKO? KUKODISHA NDEGE KWA WABUNGE ILI WASAIDIE KUFUNGA MJADALA WA MADHARA? kumbuka siasa ni mpito maamuzi yako leo yatakuumiza na wewe pia kesho maana hutakuwa na siku zote."KILA NAFSI ITAPITA ILA JEMA/BAYA LA NAFSI LITABAKI MILELE"