Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Nimeona hii picha ya msiba wa Juliet Mrina (pendo) na nimeona mwendelezo wa kile kinachoitwa kizazi kipya, kufika msibani kiganwe gangwe wakiamini labda ndivyo "wakubwa" wanavyofanya inapofika misiba. Siku hizi hata kanga, suti na nguo za heshima vijana hawataki kuvaa tena kwani "wanaomboleza kisasa" (whatever that means).
<!--ThumbEnd-->
Ndio "ukisasa" wenyewe huu, na ni nani huyo tunayemuiga?
<!--ThumbEnd-->
Ndio "ukisasa" wenyewe huu, na ni nani huyo tunayemuiga?