dev senior
JF-Expert Member
- Aug 12, 2012
- 458
- 557
Waandishi wa habari huwa wanajifanya wana akili sana. Angalia huyu jamaa alichokiandika.
Amejitahidi mno kuwaaminisha watu kuwa serikali imeingia kwenye mazungumzo na barrick bila kuwa na roadmaps, bila kuwa na targets na bila kuwa na watu wenye experiece kwenye mazungumzo. Blah blah blah. Anayeongoza majadiliano kwa upande wa barrick ni negotiation kingpin... Blah blah upuuzi. Watu wasitafute kujiinua kisiasa kutokana na outcome ya mazungumzo. Blah blah.
Jibu ni rahisi sana. Mwandishi nae hana tofauti na sisi. Hajui ni watu gani waliomo kwenye kamati ya majadiliano kwa upande wa tanzania. Na hili limekuwa pigo kubwa kwa watu wenge mlengo wa kupenda kupindisha mambo.
Sisi tuko gizani. Naye yuko gizani vilevile. Aendelee kuwa mpole...
Amejitahidi mno kuwaaminisha watu kuwa serikali imeingia kwenye mazungumzo na barrick bila kuwa na roadmaps, bila kuwa na targets na bila kuwa na watu wenye experiece kwenye mazungumzo. Blah blah blah. Anayeongoza majadiliano kwa upande wa barrick ni negotiation kingpin... Blah blah upuuzi. Watu wasitafute kujiinua kisiasa kutokana na outcome ya mazungumzo. Blah blah.
Jibu ni rahisi sana. Mwandishi nae hana tofauti na sisi. Hajui ni watu gani waliomo kwenye kamati ya majadiliano kwa upande wa tanzania. Na hili limekuwa pigo kubwa kwa watu wenge mlengo wa kupenda kupindisha mambo.
Sisi tuko gizani. Naye yuko gizani vilevile. Aendelee kuwa mpole...