Uchambuzi: Simba ya robertinho ilikuwa Bora kuliko hii ya Benchika

Labani og

JF-Expert Member
Sep 15, 2020
15,849
24,321
Salaam Wana JF

Baada yakuhitimishwa Kwa mashindano ya kombe la mapinduzi..Mimi kama mchambuzi mahiri hapa mjini JF Leo nawapa fact hii

Kwanini Simba ya robertinho ilikuwa Bora?
Mzee robertinho as alijua kuwa hana quality players wa kujivunia ila alikuja na slogan ya objective football ambapo yeye hakujali soka lunyasi ....Bali matokeo na timu ilijitahidi
Simba ya Benchika ... haelewi inafanya Nini uwanjani wachezaji hawako motivated hakuna muunganiko ....lile suala la kumfunga wydad ndilo lilimbeba benchika....lkn wydad kiwango Chao kimedrpo sana ....mechi 6 kule kwao hajashinda hata moja

NB: Simba bado inatawaliwa na kivuli Cha nje ( Kuna watu waanzisha sekeseke) bahati mbaya mashabiki wa Simba wanajaa kwenye mfumo na kufanya management kufanya maamuzi mabaya under pressure ( divide and rule)
1705172495151.jpg
 
Cv pekee iliyomleta Benchika Simba ni Kwa kuwa timu yake iliifunga Yanga na kuwa bingwa wa Confederation.

Robertinho alikuwa na akili kubwa sana kichwani, only that alikuwa anafanya kazi na akili ndogo (the kolos).
Sahihi Mkuu...Kwa Simba hii mechi za ligi huku mikoani atadondosha points nyingi

Na huyu kipa wao ayubu....ukimpigia za mbali ni tatizo
 
Tatizo la Simba sio kocha, bali ni uongozi plus mashabiki wao. Kiufupi wanaishi kwa kukariri bila kujua zama zinabadilika. Injini mpya, ila body la zamani, tajiri zote pancha, alaf dereva anatakiwa aendeshe spidi 240.

Kinachotakiwa Simba ni kufumua timu nzima, wakikosea watarekebisha msimu unaofata, mpaka mambo yatakaa sawa. Ila wao wanaamini wana timu nzuri sana, hivyo wanahitaji mabadiliko kidogo.
 
Tatizo la Simba sio kocha, bali ni uongozi plus mashabiki wao. Kiufupi wanaishi kwa kukariri bila kujua zama zinabadilika. Injini mpya, ila body la zamani, tajiri zote pancha, alaf dereva anatakiwa aendeshe spidi 240.

Kinachotakiwa Simba ni kufumua timu nzima, wakikosea watarekebisha msimu unaofata, mpaka mambo yatakaa sawa. Ila wao wanaamini wana timu nzuri sana, hivyo wanahitaji mabadiliko kidogo.
Sahihi Mkuu....ila Hilo la kufumua Hadi management haliwezekani wale jamaa wameng'ang'ana
 
Cv pekee iliyomleta Benchika Simba ni Kwa kuwa timu yake iliifunga Yanga na kuwa bingwa wa Confederation.

Robertinho alikuwa na akili kubwa sana kichwani, only that alikuwa anafanya kazi na akili ndogo (the kolos).
Timu inapopitia mapito hata kama akija Pep Guardiola bado tutateseka... Kiufupi Simba SC inatakiwa ifanye maamuzi magumu hasa kwenye usajili, iache huruma... Fumua kikosi chote, kisha ingiza maingizo mapya!

Bado tuna nafasi ya kusahihisha makosa yetu.. Kukosa mapinduzi isiwe sababu ya kutoka kwenye mstari
 
Salaam Wana JF

Baada yakuhitimishwa Kwa mashindano ya kombe la mapinduzi..Mimi kama mchambuzi mahiri hapa mjini JF Leo nawapa fact hii

Kwanini Simba ya robertinho ilikuwa Bora?
Mzee robertinho as alijua kuwa hana quality players wa kujivunia ila alikuja na slogan ya objective football ambapo yeye hakujali soka lunyasi ....Bali matokeo na timu ilijitahidi
Simba ya Benchika ... haelewi inafanya Nini uwanjani wachezaji hawako motivated hakuna muunganiko ....lile suala la kumfunga wydad ndilo lilimbeba benchika....lkn wydad kiwango Chao kimedrpo sana ....mechi 6 kule kwao hajashinda hata moja

NB: Simba bado inatawaliwa na kivuli Cha nje ( Kuna watu waanzisha sekeseke) bahati mbaya mashabiki wa Simba wanajaa kwenye mfumo na kufanya management kufanya maamuzi mabaya under pressure ( divide and rule)View attachment 2871160
Na hii ndio rangi yake kweli au camera tu imemfanya hivi?
 
Simba jana waliuza mechi. Kama vipi Takukuru waingilie kuwachunguza. Haiwezekani klabu bora kabisa Barani Afrika kufungwa kirahisi tu na timu kama Mlandege.
 
Timu inapopitia mapito hata kama akija Pep Guardiola bado tutateseka... Kiufupi Simba SC inatakiwa ifanye maamuzi magumu hasa kwenye usajili, iache huruma... Fumua kikosi chote, kisha ingiza maingizo mapya!

Bado tuna nafasi ya kusahihisha makosa yetu.. Kukosa mapinduzi isiwe sababu ya kutoka kwenye mstari
Maamuzi magumu ndio kipengele sasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom